Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,192
- 46,238
Niko nje ya nchi..ningekuwa tanzania ningekutukana kinoma..Si huwa mnataka na kulilia vithibitisho!? Mmewekewa Uthibitisho mnabadili GIA angani na kuja na "Kiapo cha Usiri"!
Mnasikitisha na kushangaza sana.
RC wa Daslamu amewakamata pabaya sana.
Kuanzia leo Mh. RC P. Makonda niitamwita The Teflon Don. Wachache watanielewa by that aka (Teflon Don).
Sent using Jamii Forums mobile app