William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
HUNA TOFAUTI NA NAPE UNAPOTEZA MUDA MWINGI KATIKA JAMII FORUM BADALA YA KWENDA BAHI UKAWAFARIJI VIJANA WA KIGOGO WAKUPENDEKEZE B4 2014.TANZANIA YA LEO HAWACHAGUI MTU ETI SABABU ALIKUWAMVUVI WA SAMAKI(BAHARIA)SIASA YA LEO HAITAKI KUJITAFUTIA UMAARUFU INATAKIWA UWE NA UCHUNGU NA WATU NA SIO SIFA BINAFSI:lock1:
- Kila unapoandika unanivunja mbavu sana, maana huwa unaonyesha uwezo wa kufikiri unapoanzia na kuishia, sasa opna unavyojisema kwamba ulikuwa hujui kwamba kunalaptop, unaweza kuingia hapa huku unasafiri, yaani unanifurahisha sana kila post yako huwa inasema something kuhusu matatizo yako binafsi! ha! ha1 ha!
William.