Aache kuubetua ule mdomo wake, haipendezi mwanaume kuweka mdomo kinyodo nyodo
Aache kuubetua ule mdomo wake, haipendezi mwanaume kuweka mdomo kinyodo nyodo
Urais lazima uwe na degree, Lukuvi hana degree. Ana certificate ya ualimu
Akiwa mkoani Lindi kikazi, Bwana Lukuvi amemweleza msaidizi wake wa karibu aliyejulikana kwa jina moja la Mkapa kuwa atachukua fomu ya urais wiki hii.
Go go Lukuvi
Lukuvi anaweza
Akiwa mkoani Lindi kikazi, Bwana Lukuvi amemweleza msaidizi wake wa karibu aliyejulikana kwa jina moja la Mkapa kuwa atachukua fomu ya urais wiki hii.
Go go Lukuvi
ha ha ha ha,nilizani namuona peke yangu,nasikia ni bingwa wa majungu
balozi mmoja wa taifa kubwa rafiki yangu aliniambia 2011 do oyu know your next president nikasema no akasema Lukuvi
Betua domo is a defence mechanism, kuwakoga wale wanaohoji elimu yake.Aache kuubetua ule mdomo wake, haipendezi mwanaume kuweka mdomo kinyodo nyodo
semeni weeeeeeeeee! Mpaka midomo yenu ichoke. Rais wa Tanzania atatokana na uchaguzi mkuu Oktoba 25, 2015. Na siyo kwa mdomo kama Msulibasi anavyotuambia