Will you marry me. .??

Will you marry me. .??

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,258
Reaction score
22,130
Screenshot_2018-02-15-12-21-47-1.png
 
Mambo ya wazungu hayo. Waafrika tunapenda sana chura, yaani viatu virefu hivo na bado hakachomoki? Chura alimezwa na flamingo! 😀
 
Meanwhile, shit is going down somewhere in Africa

View attachment 696188
raha ya sinema za kiafrika wahusika hawako sirias kivile.

njemba gani ikodolee macho kidole badala ya mtutu huo. PIA mshika bastola anarembua kuitazama kamera huku kamguu ka kuku kamelenga taya za jamaa. kwanini jamaa asijitoe akili akanyakue na kumgeuza 'prey'/windo mbadala!!!

basket mouth aliwahi lutupia neno kwenye maigizo ya kiafrika. nikipata link nitatupia

dakika ya 13:01
 
Back
Top Bottom