SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,923
- Thread starter
- #41
Hawaii part of Asia huyo ni Obama alisema
He can also see Russia from his backyard
Hawaii part of Asia huyo ni Obama alisema
Again, tajiri wa ukweli hawezi kuja Jamii Forums
Mpige simu Za umbea kwa mume wangu na wakwe Kama mlivyomtenda mange kimambi .mna wivu Kama ukoma siendagi kwa wabongo na siwataki kabisa.mlipiga simu mnataka kukidnap mtoto .wabonga nomaaaaaaaaa sina Muda nao umbea na uzushi kutwaaaaa
He can also see Russia from his backyard
Ha ha ha, that was a good one.
Tajiri wa ukweli hawezi kuja Jamii Forums. Period
Jamii forum mpaka mama angu na ubalozi wake anakesha hapa
My lovely hubby owns 5 houses Ohio NY CT Maine(cabin)na New jersey .chezea Dr Rutherford wewe unajua Ana clinic ngapi ?kauze mkaa.yaani hau qualify kuwa my housekeeper
Tajiri wa ukweli yukoje na kwa nini asiweze kuja Jamiiforums?
Tajiri wa ukweli yukoje na kwa nini asiweze kuja Jamiiforums?
.....yaani hawezi kuja hapa kutangaza kuwa yeye ni tajiri sana, bali anakuja hapa kujadili mambo ya maana na wanachama wengine. Ni kama wewe ulivyo tajiri sana lakini kila unapokuja hapa huwa unajadili mada na hata siku moja hujawahi kuandika hapa kuwa wewe ni tajiri sana ili eti uheshimiwe.
Jamii forum mpaka mama angu na ubalozi wake anakesha hapa
Hahahahaaaa jirani bana.
Anajaribu kuwafundisha wamarekani ustaarabu,niko pamoja nae na pia naangalia sana show yake na ya yule gay Anderson Cooper,nawakubali sana wawili hawaSema huyu jamaa kalikalia kidedea hili jambo kuliko wamarekani wenyewe.
MA kweli utapata,kuna waswahili kule ile mbaya,hasa wazanzibari ndio wamejaa sana,nenda boston ndio mambo yote.Wapi nitapata vitumbua na mimba hii kaka angu nipo gulford ct .yaani nimepika havitokei nimeambiwa nifuate Massachusetts .