MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
Mkurugenzi wa TANESCO Mr. William Mhando imebidi nikuulize hili swali " WHAT ARE YOU DOING?" wakati Arusha imegeuka DARK CITY for almost 14 hours every day for more than a week now.
Nakuuliza what are doing kwa sababu Meneja wa TANESCO Mkoa wa Arusha na team yake hawataki kutujibu kwa nini asilimia 90 ya mkoa wa Arusha hasa mjini na maeneo ya pembezoni umeme unakatika kwa almost 14 hours kila siku?
Ninakuuliza what are you doing badala ya kuwawajibisha wazembe kutoka Customer care wanapokuwa na majibu ya mizaha na utumbo wanapopigiwa simu kuulizwa tatizo la umeme Arusha linatokana na nini na litaisha lini?
Ninakuuliza "what are you doing" wakati tatizo la mgao Arusha lina kuwa kubwa badala ya kupungua.
Ninakuuliza tena what are you doing wakati tayari wakazi wa Arusha wameshaanza kulihusisha tatizo la umeme Arusha na visasi vya kisiasa huku wewe ukibaki kimya.
Tunahitaji majibu kwa sababu hapa hali ni mbaya mno kila kona hakuna umeme hasa nyakati za usiku kuanzia saa 12 jioni hadi saa 2 asubuhi. Hali hii imetengeneza mazingira mazuri kwa wezi waliokuwa wamepungua kwa muda mrefu kuanza rasmi shughuli zao.
Nakuuliza what are doing kwa sababu Meneja wa TANESCO Mkoa wa Arusha na team yake hawataki kutujibu kwa nini asilimia 90 ya mkoa wa Arusha hasa mjini na maeneo ya pembezoni umeme unakatika kwa almost 14 hours kila siku?
Ninakuuliza what are you doing badala ya kuwawajibisha wazembe kutoka Customer care wanapokuwa na majibu ya mizaha na utumbo wanapopigiwa simu kuulizwa tatizo la umeme Arusha linatokana na nini na litaisha lini?
Ninakuuliza "what are you doing" wakati tatizo la mgao Arusha lina kuwa kubwa badala ya kupungua.
Ninakuuliza tena what are you doing wakati tayari wakazi wa Arusha wameshaanza kulihusisha tatizo la umeme Arusha na visasi vya kisiasa huku wewe ukibaki kimya.
Tunahitaji majibu kwa sababu hapa hali ni mbaya mno kila kona hakuna umeme hasa nyakati za usiku kuanzia saa 12 jioni hadi saa 2 asubuhi. Hali hii imetengeneza mazingira mazuri kwa wezi waliokuwa wamepungua kwa muda mrefu kuanza rasmi shughuli zao.