Ziroseventytwo
Platinum Member
- Mar 27, 2011
- 9,398
- 17,793
mwenye picha CHADEMA ni Tumaini Makene pekeeyakeweka picha mkuu
mwenye picha cdm ni TUMAINImakene pekeeyake
Mie ntadondosha mipicha tuu,twendeni pamoja nipo LIVE uwanjani
Tatizo la Obama wa Bongo ni njaa. Hawezi kulipwa kama hajatoa neno lo lote linalomhusu Slaa. Kwa sasa walishasema yote. Wakarudia na sasa yamechuja. Kwa hiyo alichoandika ndicho kakiona kipya. Jamani njaa pamoja na kutumika ni fedheha kubwa. Tafuta kazi bwana Obama wa Bongo. Short of that unajitafutia aibu.Du kweli kuna watu wanatumia vichwa kufugia nywele,jamani jaribuni kujistreach a little bit mtaona mwanga.hizi buku saba za lumumba zinasumbua sana watu sasa huyu anayejiita OBAMA WA BONGO,anyway R.I.P OBAMA WA BONGO hicho ndo naweza kukusaidia nacho
naona hapo ndio mwisho wako wa kufikiri dada Lekakui ,hivi ni lazima wote tuwe na mitazamo sawa?Du kweli kuna watu wanatumia vichwa kufugia nywele,jamani jaribuni kujistreach a little bit mtaona mwanga.hizi buku saba za lumumba zinasumbua sana watu sasa huyu anayejiita OBAMA WA BONGO,anyway R.I.P OBAMA WA BONGO hicho ndo naweza kukusaidia nacho