luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,295
- 8,261
- Thread starter
-
- #241
Amesha declare kuwa kwao Ni kagera,Ni mhaya eti mhaya ambaye kwao Hadi Leo wanalala nyumba za nyasi ndio Ana ubavu wa kuja hapa et kuandika utumbo,akapambane autoe mkoa wake kwenye umaskini maana mkoa wa kagera Ni wa 9 kwa umaskiniWe nawe unaona kila mtu MATAGA ama?
Eti huijui Rombo. Kwahiyo unayeijua yote umeambulia nini? Hebu tuambie kwanza kijijini kwenu wapi kisha tuendelee na mada. Kifua kimekujaa kweli kwa hasira.
Maisha gani? Ya uvivu na SHUNTAMA?Bora nkuoe tu uje bukoba ule maisha
Hahaha umempa za uso mm bahati nzuri kagera naifahamu kwa 90% nasubiri abishe ni muumbue,mwenzie instanbul ananijua vyemaBukoba my foot. Ntumba zenu majority mnazojenga kwa matofali ya kuchoma? Vijiji vyenyewe havina mpangilio? Msiba wa ruge mpaka mumefyeka ndo gari zipite? Hebu kaa kwa kutulia
Kanyigo kule kwenye funza? Kanyigo naifananisha na kijiji cha keni ROMBOBaelezeee. Wana kelele sana hao malimbukeni wa kichaga
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Mbona povu mzee?Sio kweli wewe acha kusifia kwenu ati yaongoza kitaifa umeshawahi kwenda sehemu zingine nchi hii? Labda kama inaongoza kitaifa kwa kutengeneza na kunywa pombe ya mbege na kuwaacha wanawake nyumbani wakifanya kazi peke yao unajisifia wakati tunawajueni nyie.
Nipo muleba kwenu hapa Kuna Tisha watu wanazaliana Bila mpango umaskini Ni mkubwa mno ndio maana kagera Ni mkoa wa 9 kwa umaskiniWahaya wenzngu hwa ndugu zetu Ni nyumbu tu hamna ktu npo rombo napajua vilivyo
Naam mji tulivu mno wa kiarabuAbu Dhabi mji mmoja safi safi
na salama duniani
Ushiri ikuiniOooh hongera.... Shio ikuin mani ushela mtango na subu
PovuuuRombo ipi hiyo asee, labda nyingine
Kidochare nekerifo Au nalefa? King Kong je? Kbirin'ga?kwa seraha mlimani
Umeme mahango upo Sema Kaya kadhaa ndipo hawajafunga umememahida mahango rea bado ufungaji umeme bado
Rea Ni uchache sana umeme wa kule upo tangu 1970'sHuko si tunaanbiwa pamesuswa na awamu hii au huo umeme umepelekwa na vyama vya ushirika tena kama vilivyojenga lami..
BTW:Kama ni huu wa REA uko kisiasa mno,ukisikia kata imepata umeme utakuta ni taasisi za serikali tu ndo zimeungwa ila wananchi ni kaya tatu tu za kuzindulia Kalemani tena nyumba zilizochoka ili kuwachota mnaosubiria taarifa kwenye mainstream.
View attachment 1691664
balaa gani mkuu fungukaJana nilikuwa rombo aise ni balaa na nusu
Parokia gani hii?The beautiful ROMBOView attachment 1695871View attachment 1695872
He he he Tarakea Maili 6 hapa...Beautiful ROMBO hapa ni mashati ROMBO wala sio New-York
Cc
@sundokaView attachment 1697763View attachment 1697764View attachment 1697765
Mashati kwa TILISHOHe he he Tarakea Maili 6 hapa...