Mngendalyasota
Senior Member
- Jan 22, 2011
- 171
- 48
WanaJF
Wananchi wa wilaya mpya ya Wanging'ombe wametishia kuhamia CHADEMA kutokana na msimamo wa mkuu wa wilaya hiyo Estelina Kilasi kutaka ujenzi wa ofisi za wilaya uwe Mdandu na siyo Igwachanya kama ilivyotangazwa na Rais na ambapo ndiyo makao makuu ya wilaya hiyo.
Hayo yamesemwa jana kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika jana Igwachanya (makao makuu ya wilaya) mbele ya Mwenyekiti na Katibu wa CCM wilaya ya NJOMBE.
Pia wamemlaumu sana mbunge wao Gerson Lwenge kwa kutowasaidia ktk sakata hilo. Hoja ya Mkuu wa wilaya kuhamisha ujenzi wa ofisi za wilaya ni kwamba anasema Igwachanya hapana ofisi za kutosha za wafanyakazi wa wilaya za kuanzia kazi kwa sasa.
Wananchi wa wilaya mpya ya Wanging'ombe wametishia kuhamia CHADEMA kutokana na msimamo wa mkuu wa wilaya hiyo Estelina Kilasi kutaka ujenzi wa ofisi za wilaya uwe Mdandu na siyo Igwachanya kama ilivyotangazwa na Rais na ambapo ndiyo makao makuu ya wilaya hiyo.
Hayo yamesemwa jana kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika jana Igwachanya (makao makuu ya wilaya) mbele ya Mwenyekiti na Katibu wa CCM wilaya ya NJOMBE.
Pia wamemlaumu sana mbunge wao Gerson Lwenge kwa kutowasaidia ktk sakata hilo. Hoja ya Mkuu wa wilaya kuhamisha ujenzi wa ofisi za wilaya ni kwamba anasema Igwachanya hapana ofisi za kutosha za wafanyakazi wa wilaya za kuanzia kazi kwa sasa.