Wiki ya utata kwa makamanda

Wiki ya utata kwa makamanda

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
20,142
Reaction score
24,432
Kuna kamanda amenifurahisha sana anataka watu wasile wala wasitembeleane eti kisa kuna kamanda yupo hospitali,kuna miili imeokotwa baharini.

Kwani kabla ya utawala huu miili ilikuwa haiokotwi baharini
na ule mchezo wenu wa kwenda kuchukua maiti zisizo na ndugu na kufanya mpango wa kuzitupa baharini ili Serikali ionekane inaua tumewashtukia.

Kamanda hataki watu watembeleane kisa mkwe yupo mahabusu ,
kama Babu Seya katoka kwanini watu wasitembeleane,kamanda anasema watu wanatekwa.

Mikutano hakuna lakini yeye amewanyima haki wafuasi wake baada ya kujitoa kwenye chaguzi.

Kamanda huyu yeye ni haki yake na kauli ya chama kurusha misiba ya mbwa
na makamanda makofi pwaa pwaa pwaa.

Kamanda mwingine anataka aone reli imekamilika ndio watu watembeleane.

Ajue pesa za kujenga reli zitapatikana wapi nani atatoa ndio watu watembeleane. Hapa inaonyesha makanda wamechanganyikiwa

Kamanda mkuu amekasirika kwanini hakua kwenye msafara akapata picha akiwa na magwanda magogoni safari hii si ruksa magwanda kuingia ikulu.

Inaonekana ujasusi wa kamanda yerinko nyerere umefeli maana gari ya mjumbe ilikatika sterling road na kuelekea magogoni bila wao kujua
au watu hawasalimiani asubuhi na kujua ratiba au mjumbe aliwazuga kwa kujua akiwaambia watavuruga mchongo wake wa kukutana na mkulu.

Makamanda inapouma ni hapa pasipojulikana watu hawa wamezungumza nini.

Ushauri makamanda watu wale walikua chama kimoja wamefanya kazi Serikali moja msihofu kusalimiana na kutembeleana.

Makamanda mkumbuke mjumbe ni maarufu kuliko chama chenu haitaji mbeleko isiopokua makamanda ndio wanahitaji mbeleko.

Hitimisho uwanja wa taifa:Ridhiwani baba yako hajambo!
 
Siasa inayofundishwa darasani na inayokua practiced huku nje vitu viwili tofauti.

Tunaambiwa vyama vina lengo la kushika dola kisha vifikie state interests ila Tz vyama vina lengo la kushika dola huku havina dira matokeo yake ndiyo mipasho kama hii, kuanzia kwa mwenyekiti wa chama mpaka mwanachama wa kawaida.
 
Siasa inayofundishwa darasani na inayokua practiced huku nje vitu viwili tofauti.

Tunaambiwa vyama vina lengo la kushika dola kisha vifikie state interests ila Tz vyama vina lengo la kushika dola huku havina dira matokeo yake ndiyo mipasho kama hii, kuanzia kwa mwenyekiti wa chama mpaka mwanachama wa kawaida.
Ni kweli siasa ni chuki na hasira zisizo na faida!
 
Kuna kamanda amenifuhisha sana anataka watu wasile wala wasitembeleane eti kisa kuna kamanda yupo hospital,
kuna miili imeokotwa baharini.

Kwani kabla ya utawala huu miili ilikua haiokotwi baharini
na ule mchezo wenu wa kwenda kuchukua maiti zisizo na ndugu na kufanya mpango wa kuzitupa baharini ili serkali ionekane inaua tumewashtukia,

Kamanda hataki watu watembeleane kisa mkwe yupo mahabusu ,
kama babu seya katoka kwanini watu wasitembeleane,
kamanda anasema watu wanatekwa,

Mikutano hakuna lakini yeye amewanyima haki wafuasi wake baada ya kujitoa kwenye chaguzi

Kamanda huyu yeye ni haki yake na kauli ya chama kurusha misiba ya mbwa
na makamanda makofi pwaa pwaa pwaa

Kamanda mwingine anataka aone reli imekamilika ndio watu watembeleane

Ajue pesa za kujenga reli zitapatikana wapi nani atatoa ndio watu watembeleane,
Hapa inaonyesha makanda wamechanganyikiwa

Kamanda mkuu amekasirika kwanini hakua kwenye msafara akapata picha akiwa na magwanda magogoni safari hii si ruksa magwanda kuingia ikulu,

inaonekana ujasusi wa kamanda yerinko nyerere umefeli maana gari ya mjumbe ilikatika sterling road na kuelekea magogoni bila wao kujua
au watu hawasalimiani asubuhi na kujua ratiba au mjumbe aliwazuga kwa kujua akiwaambia watavuruga mchongo wake wa kukutana na mkulu

Makamanda inapouma ni hapa pasipojulikana watu hawa wamezungumza nini,

Ushauri makamanda watu wale walikua chama kimoja wamefanya kazi serikali moja msihofu kusalimiana na kutembeleana

Makamanda mkumbuke mjumbe ni maarufu kuliko chama chenu haitaji mbeleko isiopokua makamanda ndio wanahitaji mbeleko

Hitimisho uwanja wa taifa:Ridhiwani baba yako hajambo!
One of the hopeless guys on JF you top the list.
 
7baa78c67e150c7b02befbea2c1dfa2f.jpg
 
Hii tabia ya kutukana mama za watu tutaomba mods waituatilie kwa Karibu sana watoe ban! Lumbana bila matusi
Ukitukana nitakutukana bila kuchagua tusi.Who cares about being BANNED, after all one can do away with bans by multiple IDs
 
lawama zote kwako mbowe kututolea katibu mkuu kwenye koti na kumkumbatia huyu mzee sasa anatuyumbisha na kuleta maumivu ana tofauti gani na maulidi mtulia
 
Bashite usituletee mambo ya kibamia chukueni huyo fisadi mwenzenu ha ha lowassa kawa shibuda in the making mtu anayeshirikiana na wauaji wFirisi nchi wakabila wabomoa demokrasia munamdharau tu kama shibuda mabashite wa ccm hamlali kutetea mifisadi mienzenu
 
lawama zote kwako mbowe kututolea katibu mkuu kwenye koti na kumkumbatia huyu mzee sasa anatuyumbisha na kuleta maumivu ana tofauti gani na maulidi mtulia
Ha ha mwenyekiti wa ccm hao anawapachika vyeo mabashite hamuwaonj wana wa dada zake pale hazina akina doto james wamekula hela zote za mabenki hamumuoni munahangaika na mbowe
 
Hii tabia ya kutukana mama za watu tutaomba mods waituatilie kwa Karibu sana watoe ban! Lumbana bila matusi
Inanikera sana hata mimi mkuu, humu ni kama sehemu ya kuelimishana na kumchallenge mtu kwa hoja, unakuta mtu hana hoja badala yake hoja yake ni kumtukana mzazi wa mtu, wengine wazazi wao walishatoweka, tuache kukumbushana, tuheshimiane.
 
Ukitukana nitakutukana bila kuchagua tusi.Who cares about being BANNED, after all one can do away with bans by multiple IDs
Hujatukanwa mfano mkuu, umetoa tu maoni yako mtu anakutukania mzazi wako, ni fair kweli, bora kma umeanza kutukana mkuu Retired, lkn unaweka hoja yako tu, tayari mtu anakwambia unawaza kama matako ya baba yako, is that fair, hii tabia inabidi tuikemee mkuu.
 
lawama zote kwako mbowe kututolea katibu mkuu kwenye koti na kumkumbatia huyu mzee sasa anatuyumbisha na kuleta maumivu ana tofauti gani na maulidi mtulia
pole sana mkuu kwani wewe pia ni mmoja wapo uliezungusha kiuno na kuimba mabadiliko!
 
Hujatukanwa mfano mkuu, umetoa tu maoni yako mtu anakutukania mzazi wako, ni fair kweli, bora kma umeanza kutukana mkuu Retired, lkn unaweka hoja yako tu, tayari mtu anakwambia unawaza kama matako ya baba yako, is that fair, hii tabia inabidi tuikemee mkuu.
Sitetei uovu, hapana. Kuna kuweka hoja ya matusi, kejeli, dharau and all sorts of filthy things. Hapo ndipo mtu anamua naye kuridhisha nafsi yake. Ukitoa hoja bila matusi, kejeli, dharau mtu akijibu kw matusi, huyo alaaniwe na akemewe
 
Back
Top Bottom