Doto12
JF-Expert Member
- Nov 2, 2023
- 759
- 1,348
Mh Rais ni wiki ya maji lakini kinyerezi hatuna maji.
Tumewalilia watendaji wa ukanda huu bila mafanikio.
Inavyoonekana upande huu unachangamoto na inakinzana nanmamlaka.
Mh Rais hii inavyoonekana hata waziri ameshindwa badala yake amekemea jambo bila kujua tatizo.
Tunapokea maji kutoka kimara, tunasubiri huruma ya kimara wafungur maji ndipo tupate, watendaji wanasingizia msukumo, kila siku wanadai msukumo, yapata mwezi wa nne sasa.
Tusaidie kuondoa adha hii.
Nakala alone
BonnaBMBUNGE
RC
DC
WAZIRI JUMAA
Tumewalilia watendaji wa ukanda huu bila mafanikio.
Inavyoonekana upande huu unachangamoto na inakinzana nanmamlaka.
Mh Rais hii inavyoonekana hata waziri ameshindwa badala yake amekemea jambo bila kujua tatizo.
Tunapokea maji kutoka kimara, tunasubiri huruma ya kimara wafungur maji ndipo tupate, watendaji wanasingizia msukumo, kila siku wanadai msukumo, yapata mwezi wa nne sasa.
Tusaidie kuondoa adha hii.
Nakala alone
BonnaBMBUNGE
RC
DC
WAZIRI JUMAA