Wiki ya kishindo cha JPM inaanza Desemba 7

Wiki ya kishindo cha JPM inaanza Desemba 7

nyakenda

Member
Joined
Sep 5, 2015
Posts
71
Reaction score
60
Ndugu zangu, Rais JPM amedhamiria. Kuanzia Jumatatu, Desemba 7 Tanzania itashuhudis mtikisiko mkubwa kuanzia Bandari, TRA na Mkoa wa Arusha. Wizara ya Maliasili na Utalii pamoja na Wizara ya Nishati na Madini zitafikwa na mambo mazito. Naomba wana JF muwe tayari kuyashuhudia hayo mambo. Tanzania mpya imewadia.
 
Ndugu zangu, Rais JPM amedhamiria. Kuanzia Jumatatu, Desemba 7 Tanzania itashuhudis mtikisiko mkubwa kuanzia Bandari, TRA na Mkoa wa Arusha. Wizara ya Maliasili na Utalii pamoja na Wizara ya Nishati na Madini zitafikwa na mambo mazito. Naomba wana JF muwe tayari kuyashuhudia hayo mambo. Tanzania mpya imewadia.

Kwenda zako JPM siyo wa hivyo mmemzoea Jk kutoa siri zake siyo huyu mtu aloo.
 
Hakuna kitu........tunaowataka mbona wanakwepwa........sarakasi tu hizi na senema zisizo na mashiko........
akiniletea aliyesafirisha twiga.......na kuua tembo.......ndio nitaona kuna jipya........vinginevyo........ mvinyo ule ule chupa mpya........hatulewi ng'ooooooooooooooo............
 
Bongo watu wanaishi kimungumungu tu. Nchi rahis sana kuiongoza ukiwa kiongoz. Siwez amin miaka 10 iliyopita kila kitu kilikuwa sawa tu licha ya utawala wa ngeseki
 
Hakuna kitu........tunaowataka mbona wanakwepwa........sarakasi tu hizi na senema zisizo na mashiko........akiniletea aliyesafirisha twiga.......na kuua tembo.......ndio nitaona kuna jipya......

Hapo pagumu hapo. Hapo tunagusa wanene kwa kwenye CHAMA. Hapo kombe litafunikwa na labda wataombwa wasiendelee tu.
 
Hakuna kitu........tunaowataka mbona wanakwepwa........sarakasi tu hizi na senema zisizo na mashiko........
akiniletea aliyesafirisha twiga.......na kuua tembo.......ndio nitaona kuna jipya........vinginevyo........ mvinyo ule ule chupa mpya........hatulewi ng'ooooooooooooooo............

Kweli hulewi unaitwa pre eta unataka akupe nini only month one tilion sana acha mahaba ya siasa wewe au unandugu yako kigogo wa ufisadi unajihofu
 
Sawa tunasubiri, si kesho tu

Ila bila ushabiki hayo maeneo yakikaa sawa hakika serikali itapata fedha za kutosha tu kutimiza yote aliyotuahidi.

Ila mwambie asisahau kukata zile posho za waheshimiwa wabunge, tunasubiria kwa hamu sana kusikia hizi posho zinakatwa. Otherwise, hatakuwa hajawatendea haki wafanyazi wa serikali kufuta posho za vikao
 
Ndugu zangu, Rais JPM amedhamiria. Kuanzia Jumatatu, Desemba 7 Tanzania itashuhudis mtikisiko mkubwa kuanzia Bandari, TRA na Mkoa wa Arusha. Wizara ya Maliasili na Utalii pamoja na Wizara ya Nishati na Madini zitafikwa na mambo mazito. Naomba wana JF muwe tayari kuyashuhudia hayo mambo. Tanzania mpya imewadia.

usimpriempty wewe.....hataufanyeje JP hatetetereki...atawaibukia tu....Hapa ni kazi Tu.
 
Kwendaaaaaaaaa...... hadi sasa

1: UDA iko inadunda na Riz1 anadunda tu...

2: ESCROW wezi wana dunda tu

3: Walio uza twiga wako wanatanua..

4: Wauaji wa Tembo wako huru tu

5: Mikataba ya gesi, mafuta na madini hakuna kitu amesema hadi sasa, inabakia siri hata kufanyia review hakuna, ndio nn

6: TRL, mabehewa feki, hakuna kitu amesema...

7: ATCL, Magufuli kakaa kimyaaa... why

8: Drug lords wako wanatanua tu, Nzowa si anawajua wote, Magufuli angetoa order tu wanawekwa ndani... Nzowa anaowajua wooote

9: Bandari ya UFISADI Bagamoyo, hata BUNGE haijui nn kinaendelea, Magufuli kakaa kimyaaaaaaa, kama haoni, Bagamoyo port is the biggest disaster to our country, bcoz there are rumors that will be operated 50yrs FREELY and without tax, by CHINESE ARMY... that is the most worst ever contract our country could have, na ukifuatiwa ule wa Mafuta na Gesi, ulipitishwa bungeni kwa dharura kama vita vile...

10: Umiliki wa Lake Oil, Lake Gas, utata mtupu, wachunguzwe wamiliki wake... it looks JK family owns it... ni kosa kubwa...!!! Ila waarab ndio wanasimamia...

11: Home Shopping Center, Magufuli kakaa kimyaaaaaaaaa... 😨 kwani
hajui jamani..?

12: IPTL... IPTL... IPTL... IPTL... esp. capacity charges... kila mwezi inapokea tsh. 4 bil, as capacity charges... na kinyume kabisa na maagizo ya Bunge... na Magufuli yuko kimyaaaaaaaaaaaaa😨😠😠

13: TANAPA.... NCAA, na WANYAMA PORI ni wa kupiga chini haraka sana viongozi wao.... huko ufisadi ni wa kutisha, hasa ktk VITALU VYA UWINDAJIIIIIII

Mm naona kakomaa na TRA tu, ni sawa kaanza vizuri hatukatai, lkn je na hao wengine..?
 
Ndugu zangu, Rais JPM amedhamiria. Kuanzia Jumatatu, Desemba 7 Tanzania itashuhudis mtikisiko mkubwa kuanzia Bandari, TRA na Mkoa wa Arusha. Wizara ya Maliasili na Utalii pamoja na Wizara ya Nishati na Madini zitafikwa na mambo mazito. Naomba wana JF muwe tayari kuyashuhudia hayo mambo. Tanzania mpya imewadia.

anawaonea TRA na bandari tu lakin kila idara ya serikali walikuwa wanakula kwa staili yao,kama kufukuza afukuze wote aanze upya maana hakuna msafi
 
Kweli hulewi unaitwa pre eta unataka akupe nini only month one tilion sana acha mahaba ya siasa wewe au unandugu yako kigogo wa ufisadi unajihofu

Sio mahaba........tumechoka kuchezewa akili.......juzi tu hapa kobe walikua wanakwea pipa......watu wakarushana ndio dili likafumuka...........
labda uniambie nimpe muda.......hiyo nitakubali baada ya siku 100 ndio nitatathmini........kwa sasa bado sana.......
 
Hapo pagumu hapo. Hapo tunagusa wanene kwa kwenye CHAMA. Hapo kombe litafunikwa na labda wataombwa wasiendelee tu.

Basi watuache.......tuendelee kuishi kibishibishi hivyo hivyo.......tulishazoea maisha yetu.......tusivurugwe akili.......
 
Sio mahaba........tumechoka kuchezewa akili.......juzi tu hapa kobe walikua wanakwea pipa......watu wakarushana ndio dili likafumuka...........
labda uniambie nimpe muda.......hiyo nitakubali baada ya siku 100 ndio nitatathmini........kwa sasa bado sana.......

Hii taasisi siyo ya kukurupuka ujue hao mafisadi wanawekeza nawalijipanga mambo mengi iwe sheria
 
Ndugu zangu, Rais JPM amedhamiria. Kuanzia Jumatatu, Desemba 7 Tanzania itashuhudis mtikisiko mkubwa kuanzia Bandari, TRA na Mkoa wa Arusha. Wizara ya Maliasili na Utalii pamoja na Wizara ya Nishati na Madini zitafikwa na mambo mazito. Naomba wana JF muwe tayari kuyashuhudia hayo mambo. Tanzania mpya imewadia.

Koma kiherehere utasutwa kwa kujifanya mwandani wa JPM!!!
 
Hakuna kitu........tunaowataka mbona wanakwepwa........sarakasi tu hizi na senema zisizo na mashiko........
akiniletea aliyesafirisha twiga.......na kuua tembo.......ndio nitaona kuna jipya........vinginevyo........ mvinyo ule ule chupa mpya........hatulewi ng'ooooooooooooooo............

Teh teh teh...

Mzma lakin ww?
 
Back
Top Bottom