Wiki mbili naumwa homa kali sana

Wiki mbili naumwa homa kali sana

Jivukize na maji ya chumvi tuuu

Kuna kitu zaidi ya Corona Tanzania na ni kibaya sana
hii nyungu season 3 au? ngoja niiscreenshot kabisa.
 
Sitaki kukupa taharuki lakini wahi hospital haraka sana nadhani mtungi wa Oxygen unakuhusu. Pole sana tufahamishe unaendeleaje ukiweza.
Nina wiki 2 naumwa homa kali sana nimeenda hospitali 3 tofauti naambiwa sina maralia Wala uti wala typhoid, nilipewa tu pcm na amox sababu ya kikohozi.

Leo siku 11 homa ikishuka kidogo inapanda tena natetemeka, nguvu Sina. Nikivuta hewa kwa ndani kifua kinauma na amox nimemaliza. Ni mjamzito miezi 6. Homa haiponi jamani.
 
Pole sana Anna pita nakushauri ukaonane na madaktari wa wakinamama haraka sana maana ujauzito na homa kali ni hatari kwa maisha yako.
 
Piga nyungu ya pumuji na covido! Corona ya saivi ina dalili nyingi sana
 
Nina wiki 2 naumwa homa kali sana nimeenda hospitali 3 tofauti naambiwa sina maralia Wala uti wala typhoid, nilipewa tu pcm na amox sababu ya kikohozi.

Leo siku 11 homa ikishuka kidogo inapanda tena natetemeka, nguvu Sina. Nikivuta hewa kwa ndani kifua kinauma na amox nimemaliza. Ni mjamzito miezi 6. Homa haiponi jamani.
Pole sana! Fanya mazoezi ya kutembea ,tumia chai ya tangawizi,usisahau pia kutumia malimao kwenye mboga,kula matunda hasa nanasi na machungwa.
 
Back
Top Bottom