Anna pita
JF-Expert Member
- Jul 10, 2012
- 227
- 427
Nina wiki 2 naumwa homa kali sana nimeenda hospitali 3 tofauti naambiwa sina maralia Wala uti wala typhoid, nilipewa tu pcm na amox sababu ya kikohozi.
Leo siku 11 homa ikishuka kidogo inapanda tena natetemeka, nguvu Sina. Nikivuta hewa kwa ndani kifua kinauma na amox nimemaliza. Ni mjamzito miezi 6. Homa haiponi jamani.
Leo siku 11 homa ikishuka kidogo inapanda tena natetemeka, nguvu Sina. Nikivuta hewa kwa ndani kifua kinauma na amox nimemaliza. Ni mjamzito miezi 6. Homa haiponi jamani.
