Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,440
Hahahahahaa hapo chachaHamna kitu hapo, weka namba ya simu tuseme nyuma ya pazia, kwani kwa sauti tu nitakujua kama unazo au la
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahaa hapo chachaHamna kitu hapo, weka namba ya simu tuseme nyuma ya pazia, kwani kwa sauti tu nitakujua kama unazo au la
Sie tumezoea kutumia jiko la gesi, usiwe mshamba na wewe, nyiewa bara ndo msiyoyajua hayo, TV zenyewe mmezijua majuzi baada ya kuingia rais wa awamu ya pili, lakiniie tangu miaka ya 60 tuna TV coloured
Heheheeeee sasa ulitaka nifichwe na mwenye uume kama mimi? Zinduna aje aisee we mbona unatafuta mwenye uume na si tofauti?
Mwanza raha aisee
Halafu nasikia mwanza ulifichwa na mwana JF mwenye uke! Ulisalimika kweli?
Halafu nasikia mwanza ulifichwa na mwana JF mwenye uke! Ulisalimika kweli?
Hamna kitu hapo, weka namba ya simu tuseme nyuma ya pazia, kwani kwa sauti tu nitakujua kama unazo au la
Ila usijekimbia ukaacha pichuUume ndo mpango mzima, nataka nijaribishe za bara zina ladha gani, kwanza nasikia wanaume wa bara hawafanyiwi tohara, nataka nione inananaje
We unazungumzia msasani gani? mie nafikia Peninsula bana
mie nataka udi wa lamu na kitezo
hehehehheh! waukweeeeh...........huyooooo anaingia ndani ya jiji lolest!
Zinduna mwaya karibu, tulikumisijeeeeeeeeeeee sasa? ila bibie mie nletee udi tena ule wa oman wenye kufushwa ukeni manake nimeopoa mwenye ume mmoja humu jf nataka nimzime milele. usisahau na wanja wa kungu bibi na hinna za makka lol!
yote tisa masala ya chai, pilau, na birian usiasahau jaman pamoja na binzari ya kusafishia uso mwali lol!