Wigan Mabingwa wapya wa FA Cup

Wigan Mabingwa wapya wa FA Cup

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,346
Reaction score
26,138
Waibwaga Manchester City kwa bao moja kwa bila. Ni bao la dakika ya 91.Man City yamaliza msimu mikono mitupu. Hongera zao Wigan Athletic
 
Wigan are the FA 2012-13 champions!!!!!!well done to the boys
 
Ni ubingwa wa Wigan baada ya miaka 81.Inapendeza sana.Ni bao la kona
 
Sasa Wigan wameapa kupambana kubaki Ligi Kuu kwa kufanya vyema kwenye mechi mbili zilizobakia. Wameapa kufanya makubwa zaidi ya leo
 
Hahahahaaa, wanakuwa mabingwa na kushuka daraja!!! Inatia raha sana
 
Japo imeshuka Wigan lakini Man C cha
moto wamekiona vijana wamehakikisha
FA CUP wanachukua.

Hureee Wigan Keep it Up !
 
Sasa Mancin safari imewadia kabisa yaanai pamoja na kuwekeza hela zote zile bado wanatoka bure
 
Timu ya wigan imetawazwa mabingwa wapya wa kombe la fa hukuwakiwa wameshuka daraja msimu huu.
 
ni kweli ktka kikosi cha wigan leo kuna mchezaji aliyetoka arsenal kwa mkopo,na yy amechukua ndoo ya FA? Kma ni hvyo bac arsenal kuna gundu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom