Wigan Mabingwa wapya wa FA Cup

Wigan Mabingwa wapya wa FA Cup

Kwa mara nyingine waspain wamedhihirisha wao ni moto kuanzia wachezaji na meneja,sasa angalia mzaliwa wa jimbo la Catalunya mji wa Balaguer mchezaji wa zamani Real Zaragoza(Moro Utd) kawapa kombe la FA Cup kwa mara ya kwanza katika historia yao si mwingine bali ni Roberto(Bob) Martinez Monteliue,sawa wachukieni lakini haki yao wapeni waspain wanajua.
 
Vp record ya Wigan kwenye kombe hilo.
 
Vp record ya Wigan kwenye kombe hilo.
mara yao ya kwanza kubeba hilo sina mengi sana,mimi njoo kuhusu kutetea oviedo,extramadura,numancia,deportivo alaves,sabadell,albacete,xerex,hercules,santander,sporting gijon nk hapo hata ubishi nishikie ntakuja kumalizia mwenyewe ukizungumzia mbovu kuhusu hizo team na nyinginezo za huko kwa kina furia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom