Wife materials ni shida

Wife materials ni shida

Mwanamume

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2013
Posts
269
Reaction score
216
Wanaume wengi hupenda kuoa wanawake wenye tabia na mienendo mizuri (wife materials). Ndiyo maana kukawa na usemi kuwa uzuri wa mwanamke siyo urembo ni tabia.

Lakini imedhihirika pasipo shaka kuwa wanawake wengi ambao ni wife materials hawavutii kwa sura na shape. Wapo wapo tu na ndiyo maana wananyenyekea kwa wapenzi wao na watu wengine na hivyo kutafsiriwa kama wife materials.

Na hii ndiyo sababu ya wanaume wengi kuchepuka na kuwafuata hao wenye shape na sura zao nzuri ila wamepungukiwa tabia nzuri.

My take:
Ili usichepuke tafuta mke atakaye amsha hisia zako. Usiangalie tabia nzuri kwani wewe mzazi wake? Au wewe ni kasisi/shekhe? Unaenda kuitumia wapi hiyo tabia.

Lengo hasa (specific objective) la ndoa ni mgegedo. Sasa unaenda kuoa polygon kisa tu lina tabia nzuri, siku 2 unakuwa umelichoka unasikia kinyaa hata kufuatana nalo mtaani ama kulitoa out. Kwann unajibebesha dhambi bure?

Unachukua dubwana likizaa mzao mmoja linaonekana kama mamako mzazi. Mkiongozana linapewa shikamoo halafu wewe unaambiwa za saa hizi kaka.

Acheni hizo mwanamke ni shape na sura tabia nzuri akamuonyeshe baba yake.
 
Hahahahah eti unaenda kuitumia wapi hiyo tabia.

Haya sasa..wanaume kazi kwenu. Vigezo vimelegezwa kama vifungo vya shati, mshindwe nyie tu sasa.
 
A cha kusingizia ni sheeda
 

Attachments

  • 1421958482020.jpg
    1421958482020.jpg
    11.6 KB · Views: 2,153
unajua kuna myth nyingine ukiziweka kichwani hasa hizi zinazoandikwa kwenye mitandao huku utapata shida sana kwenye maisha...pole sana...anyway but we attracts what we are..!!
 
Eeeh sawa bwana. Mapolygon tuna shida hivi kumbe huwa tunatia kinyaa pia? But I hope kila mtu Mungu alimuumba kwa makusudi yake....
 
mcharo kawa mtamuuu.............
kama wife material
 
mwanamke sura tabia nitarekebisha akishindwa anaenda tu
 
Kuna wengine wanajikuta, Wengine wanaona ila hawaoni, Kuna wengine wanaweka vigezo na kuchagua saana mwishowe wanaoa tu ilimradi, Wengine wanalazimishwa na wazazi, wengine wanalazimishwa na mazingira, wengine wameoana kwa bahati mbaya (mimba na kama sio hio wasingeoana), wengine huruma, wengine umaarufu, wengine kupata nafuu ya maisha, wengine mazoea, wengine hawakua na namna imebidi tu aoe huyo huyo aliyempata maana hata huyo kumpata ilikua balaa, wengine uzuri, wengine shape etc.

Vingezo wanatiki mbele kwa mbele.
 
Kuna wengine wanajikuta, Wengine wanaona ila hawaoni, Kuna wengine wanaweka vigezo na kuchagua saana mwishowe wanaoa tu ilimradi, Wengine wanalazimishwa na wazazi, wengine wanalazimishwa na mazingira, wengine wameoana kwa bahati mbaya (mimba na kama sio hio wasingeoana), wengine huruma, wengine umaarufu, wengine kupata nafuu ya maisha, wengine mazoea, wengine hawakua na namna imebidi tu aoe huyo huyo aliyempata maana hata huyo kumpata ilikua balaa, wengine uzuri, wengine shape etc.

Vingezo wanatiki mbele kwa mbele.

kila mwanamke ni wife material itategemea ww tu unahitaji material ya aina gani.!over
 
Kuna wengine wanajikuta, Wengine wanaona ila hawaoni, Kuna wengine wanaweka vigezo na kuchagua saana mwishowe wanaoa tu ilimradi, Wengine wanalazimishwa na wazazi, wengine wanalazimishwa na mazingira, wengine wameoana kwa bahati mbaya (mimba na kama sio hio wasingeoana), wengine huruma, wengine umaarufu, wengine kupata nafuu ya maisha, wengine mazoea, wengine hawakua na namna imebidi tu aoe huyo huyo aliyempata maana hata huyo kumpata ilikua balaa, wengine uzuri, wengine shape etc.

Vingezo wanatiki mbele kwa mbele.

Binadamu yoyote ambae anatafuta mtu mwenye tabia fulani ili awe mkewe au mume mtu huyo ni dhaifu na hajui maisha yana maana gani

Habari yako mkuu?
 
Ukipanda mbegu ya mahindi utavuna mahindi. Watoto hujufunza na kufuata tabia za wazazi.
 
Back
Top Bottom