Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,633
- 38,733
Mambo vipi wazeeamama na wazeebaba,
Kuna dhana imejengeka sana kwa watu wengi haswa wanaopatikana mataifa yaliyopo matak..ni mwa dunia kuwa mwanamke anaependa umaskini na mwenye kuweza kuvumilia umaskini ndio wife material..
Huwa najiuliza mwanamke anaependa maisha flani ya hali ya juu hawezi kuwa wife material? Kwanini wanawake wanaoshi maisha yao to the fullest tunawaona kama hawafai kuolewa au kuwa na familia,?
Hii ni dhana potofu sana na wengi tunaamini hvyo, kuvumilia umaskini haiwezi kumfanya mwanamke akawa wife material moja kwa moja yapo mengi sana yakuangalia...
Wazeebaba tutiririke ni sifa zipi ukiziona kwa mwanamke wala hujiulizi mara mbili kwenda kwao kujitambulisha?
Kuna dhana imejengeka sana kwa watu wengi haswa wanaopatikana mataifa yaliyopo matak..ni mwa dunia kuwa mwanamke anaependa umaskini na mwenye kuweza kuvumilia umaskini ndio wife material..
Huwa najiuliza mwanamke anaependa maisha flani ya hali ya juu hawezi kuwa wife material? Kwanini wanawake wanaoshi maisha yao to the fullest tunawaona kama hawafai kuolewa au kuwa na familia,?
Hii ni dhana potofu sana na wengi tunaamini hvyo, kuvumilia umaskini haiwezi kumfanya mwanamke akawa wife material moja kwa moja yapo mengi sana yakuangalia...
Wazeebaba tutiririke ni sifa zipi ukiziona kwa mwanamke wala hujiulizi mara mbili kwenda kwao kujitambulisha?

