Kwahiyo akiwa anahutubia nchi uchumi ndoutakuwa domestic?!Nadhani jumuiya za kimataifa na watu wa nje wanaijuwa JMT vizuri na fursa zilizomo kuliko hata sisi raia tulioko hapa nyumbani. Ni kama nchi inatangazwa nje zaidi kuliko ndani, hii inaweza kufanya uchumi wetu kuwa exotic kuliko domestic.
You missed the context and logic. She will be rolling it out internally rather, as priority no.1 is the native community (voters).Kwahiyo akiwa anahutubia nchi uchumi ndoutakuwa domestic?!
Simple example.Kwahiyo akiwa anahutubia nchi uchumi ndoutakuwa domestic?!