CCM: around 5 million
Chadema\Ukawa: around 2.5 million
Zitto\ACT: around 1.5.million
Poor analysis and calculation.
Why?
1/Zitto Kabwe was never been a costant factor for winning of CCM or CHADEMA in any presidental race, so it is not right to compare with Willium Ruto.
2/CHADEMA is more powerful and Popular than any Individual part member of CHADEMA. That why CHADEMA fired Kaborou, Zitto ets and still remained stable and popular.
3/CHADEMA in Kigoma was there before Zitto Kabwe, and still more popular than Zitto Kabwe, now and before. To prove that go to 2010 General Election results.
4/UKAWA is collition agenda from different Parties not a single person that why it hits the nation in every angle.
Kwa jinsi ulivyomalizia uzi wako wewe mleta mada unaonekana kama unajishuku hivi. Hiyo mifano unayotolea kuhusu Kenya sidhani kama ungeitolea kwenye upande wa maendeleo. Ni hivi hapa naona kama umekuja kuandaa watu kisaikolojia kwamba Ukawa watashindwa na unalazimisha sababu iwe ni Zitto. Kama kweli unachokisema ni hicho mbona hao cdm hawakushinda urais 2010 wakati Zitto akiwa bado cdm? Umeweka na idadi kabisa ya wapiga kura kwa mujibu wa mtazamo wako, lakini ukiangalia ni kama vile mada yako inalazimisha kwamba bila Zitto basi Ukawa hawawezi kushinda urais!! Hivi ni nani unaweza kumdaganya tena kwa hisia za kwamba bila Zitto cdm hakuna. Wote wanaomini mtazamo wako wanatoka ccm na kwao ni faraja bila uhalisia.
Naomba nikupe mfano mrahisi wa karibuni, hivi majuzi kumefanyika uchaguzi wa serekali za mitaa, ukiachia mbali zoezi kuendeshwa kwa hila na mapungufu mengi, cdm wamezoa viti vingi sana bila mchango wowote wa Zitto. Sasa nashangaa unalazimisha data za mwaka 2010 unaacha za hivi karibuni kabisa na madhara yake kwa uchaguzi mkuu ujao. Kama ni kweli usemacho nilitarajia uchaguzi huu uliopita miezi michache ndio ingekuwa sehemu ya wewe kujengea hoja na sio mwaka 2010 ambapo hata aina ya matokeo yalipatikana kwa vitisho na ugomvi mkubwa. Kama unataka kumtetea Zitto wewe mtetee kwa njia nyingine na sio zaidi ya hapo.
I have doubts with point number 2 and 3.
Its impossible to challenge Mbowe at Chadema, nobody will dare to do it,,not Lissu not Mnyika. They have seen and learnt what happens when you do it: Lets be honest there:Chadema is Mbowe and Mbowe is Chadema,period:
Popularity of Chadema in Kigoma has been after their people.( Kaborou and Zitto). You can see already why ACT is gaining popularity there,,sababu they support their own.
Follow closely political history of Ruto and that of Zitto, similarities are clearly there🙁 Political Confidence)
I have doubts with point number 2 and 3.
Its impossible to challenge Mbowe at Chadema, nobody will dare to do it,,not Lissu not Mnyika. They have seen and learnt what happens when you do it: Lets be honest there:Chadema is Mbowe and Mbowe is Chadema,period:
Popularity of Chadema in Kigoma has been after their people.( Kaborou and Zitto). You can see already why ACT is gaining popularity there,,sababu they support their own.
Follow closely political history of Ruto and that of Zitto, similarities are clearly there🙁 Political Confidence)
Ndugu Tindo,
By elections sio sawa na Main election: Kwenye chaguzi ndongondogo, Chama kinapata muda na nafasi ya kutosha kumchagua mgombea anayefaa: Kwenye uchaguzi mkuu,,Chama kinahitaji kujichanua nchi nzima kupata wagombea wanaostahili; hivyo basi siwezi kutumia chaguzi ndogo kama sababu ya kufanya uchambuzi wangu:
Ukawa watashindwa kwa sababu hizi:
- zitto
-kutokupata wapiga kura wapya🙁new voters)
-Tamaa za viongozi wa Ukawa
UKAWA hawatashindwa sababu ya CCM:
"'mbowe is chadema,and chadema is mbowe'',,you ar too wrong bro!..,this is new episode never seen in Tz political arena,nw it is "UKAWA",muunganiko wa 4 political parties having mp's all around tz!..,washangiliaji wa zzk ni ccm as ''adui mwombee njaa'' for chadema,,
zzk ana washangiliaji tuu,wrong analysis.,
Kumbe kweli hukuja kutoa uchambuzi bali kulazimisha kuwa ukawa bila zzk haitashinda!...
Uchaguz wa s/m is too critical to determine general election as to measure chama kinakubalika namna gan mitaani kwa wanainchi wa kawaida!..
Poor analyst
Please make your NOT poor analysis: POLITICS IS A GAME: To win it you have to have a strategy, CCM has a strategy year after year thats why they are winning,,not because they are popular or people like them: I gave you three reasons why UKAWA watashindwa,,not having Zitto on board is one of them,,zipo nyingi tu sababu:
UKAWA needed Zitto on board in order to give CCM a real test for the top job. Whomever UKAWA could have decided to put up as it's presidential candidate( Lipumba or Slaa), Zitto could have been the running mate.
I have said before in 2013, and i repeat again, Zitto will be the kingmaker in 2015 election.
Nothing is new in East africa politics, Ruto did it in Kenya, Bwana Zitto will do the same. I find quite many similarities among these two gentlemen, both shrewd politicians rising up from the common mwananchi family.
As for Ruto, he is a student of Moi and Baba Raila, he has shown times and times that he is not afraid to go against his masters.
Bwana Zitto is a student of Mbowe and mentored by Salim, well, he has shown since 2009 that he is willing and able to challenge his tutor.
After the 2007 election in Kenya, Bwana Uhuru sat down and calculated why he lost. The reason was RUTO. He swang away the important votes and gave Kibaki a thin win.
Uhuru learnt his lesson: The tyranny of numbers. He needed Ruto to add up his numbers and win the election, and so had Ruto on board and won the election.
UKAWA needed Zitto on board in order to give CCM a real test for the top job. Whomever UKAWA could have decided to put up as it's presidential candidate( Lipumba or Slaa), Zitto could have been the running mate. Simply because the man has 2 million voters or more in his pocket. Its nature of African voters to follow a person rather than policies.
Lets look at 2010 election numbers:
Total votes: 8,626,283
CCM:
5,276,827
CHADEMA: 2,271,491
Others: 900,000
From my analysis: Zitto himself brought to chadema around 700,000 votes, and he has left with him around same number of votes: The regions that CHADEMA overwhelmingly won were the region Zitto campaigned heavily: With the new voters registration, UKAWA should focus on gaining new voters, CCM has almost 4 million permanent voters. CHADEMA has almost 1.5 million permanent voters.
CUF and other UKAWA members have very little contribution when it comes to presidential votes, Lipumba has never gained any popularity for all those elections, its better for UKAWA to have Zitto and Mbatia on board rather than Lipumba if they want to fight for the top job: Apart from Zanzibar; CHADEMA is carrying too much burden from UKAWA.
If CHADEMA wanted to win,(Slaa&Zitto) they could have made more than 4 million votes it takes to take out CCM: Slaa has his own 0.5 million votes, Zitto has his own 1.5 votes, Chadema has around 2 million votes, if the focus could have been to get new voters around 1 million, surely CCM with or without Lowassa could have struggled in the coming election.
My estimates for the coming election: From 9 million voters
CCM: around 5 million
CHADEMA\Ukawa: around 2.5 million
Zitto\ACT: around 1.5.million
This is only my analysis: Nina haki ya kufikiria nitakavyo: I have no political party or affiliation na yeyote:
Weka inputs zako kiustaarabu; I am a member here since 2007: