Why TTCL is not the leading Cellular and internet Operator?

Tewuta ndio kitu gani?!
 
TTCL inaongozwa na wazee ambao sio smart, wana akiili finyu balaa, in short wanachofikiria ni kupata salary kila mwisho wa mwezi basi imetoka, wao inciome iliyopo inawatosha, hawakai kufikiria waexpand vipi, wanafikiria watakula nini mwiisho wa mwezi. So stupid
 
Na hili ndilo swali la msingi
 
Na hili ndilo swali la msingi

Watu wengi wanasema TTCL imesheleweshwa makusudi ili kampuni zingine ziweze kusonga mbele, lakini ukiangalia sana unagundua hii hoja haina nguvu.

TTCL jinsi inavyoendeshwa, ndio hivyo hivyo kama kampuni au mashirika mengine ya UMMA ya wanavyoendeshwa, mfano mzuri ni Tanesco, hawapo serious hata kidogo, leo Tanesco mtu hana umeme kwake, wanapigiwa simu lakini kufika kwako wanaweza kutumia hata zaidi ya week kuja kutatua tatizo lako na hivyo hivyo TTCL wanafanya kwa wateja wao. Ipo siku itakuja kampuni nyingine serious inafanya kazi kama za Tanesco lakini huduma zake ni bora mara dufu na wateja tutaanza kwenda kwao kwa huduma ya uhakika na mwisho tutakuja kusema Tanesco imechelewesha kuendelea ndio maana kampuni mpya wamekuja kuchukua nafasi yao ya hali ya SOKO.

Cha msingi TTCL wabadilike kwenye huduma zao, huduma zao ni mbaya sana, hawana customer care hata kidogo, wanajibu wateja majibu kama vile wanapata huduma bure. Unapiga simu leo ila wanakuja kuSolve tatizo baada ya wiki, nani ataendelea kuvumilia UTOPOLO kama huo. Kwa hali hiyo jambo la TTCL kufa si jambo la kisiasa, ni jambo la kiungozi kama mashirika mengine ya UMMA.
 
Pole sana mkuu, unapata changamoto ipi unapotumia huduma za TTCL?
 
Dah yule mzee anavyojifanyaga mzalendo na mstaarabu kumbe matako tu......
 
Yule mzee ni choko sana yule....
 
Umemaliza kila kitu.
 
Asante
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…