Wakuu,
Ningependa kupata maelezo mepesi zaidi nielewe kwa nini Tshs yetu inazidi kuwa weak kulingalisha na Currency zingine duniani?
Je hii inasababishwa na nini hasa? Mimi sina elimu ya mambo ya uchumi lakini navyojua kidogo ni kwanza tunaagiza bidhaa zaidi (importations) kuliko kuuza nje (Exportation), kwa maneno mengine ration ya import na export si sawa.
Mf. Tshs against USD ilikuwa 1200 - lakini sasa ni karibia 1450, hii inatisha.
1. Je hakuna linaloweza kufanyika kuiweka Tshs yetu iwe stable? wenzetu wa kenya inafanyikaje Tshs yao kuwa so stable?
2. Je hatuwezi ku Control importations ratio ikawa sana na exportation ili kuzuia
fluctuation ya Tshs yetu? kuna athari zipi tukifanya hivi?
3. Je Devaluation ya Tshs inauhusiano na ukuaji wa uchumi? nasikia uchumi wetu umekuwa lakini bado unaona Tshs ina zidi kuwa weak na hali ya maisha inazidi kuwa mangumu.
4. Je kuna uhusiano wa kuporomoka kwa Tshs kuhusishwa na na mambo ya kisiasa?
5. Niambieni Role ya BOT kuhusiana na kuporomoka kwa Tshs, Exportation na Importaion ration
Bado nahitaji maelezo mengine mazuri na mepezi zaidi sababu nikisoma sipati maelezo yanayojitosheleza, kwa wale wachumi hebu nifungueni macho.
5. Niambieni Role ya BOT kuhusiana na kuporomoka kwa Tshs, Exportation na Importaion ration
Demand ya $$$ iko juu, wadosi wanahamisha $$$ kwenda kwao ni hadi uchaguzi upite mjomba!!!!
Wakuu,
Ningependa kupata maelezo mepesi zaidi nielewe kwa nini Tshs yetu inazidi kuwa weak kulingalisha na Currency zingine duniani?
Je hii inasababishwa na nini hasa? Mimi sina elimu ya mambo ya uchumi lakini navyojua kidogo ni kwanza tunaagiza bidhaa zaidi (importations) kuliko kuuza nje (Exportation), kwa maneno mengine ration ya import na export si sawa.
Mf. Tshs against USD ilikuwa 1200 - lakini sasa ni karibia 1450, hii inatisha.
1. Je hakuna linaloweza kufanyika kuiweka Tshs yetu iwe stable? wenzetu wa kenya inafanyikaje Tshs yao kuwa so stable?
2. Je hatuwezi ku Control importations ratio ikawa sana na exportation ili kuzuia
fluctuation ya Tshs yetu? kuna athari zipi tukifanya hivi?
3. Je Devaluation ya Tshs inauhusiano na ukuaji wa uchumi? nasikia uchumi wetu umekuwa lakini bado unaona Tshs ina zidi kuwa weak na hali ya maisha inazidi kuwa mangumu.
4. Je kuna uhusiano wa kuporomoka kwa Tshs kuhusishwa na na mambo ya kisiasa?
5. Niambieni Role ya BOT kuhusiana na kuporomoka kwa Tshs, Exportation na Importaion ration
Bado nahitaji maelezo mengine mazuri na mepezi zaidi sababu nikisoma sipati maelezo yanayojitosheleza, kwa wale wachumi hebu nifungueni macho.
Kushuka kwa thamani sio lazima iwe kitu kibaya, inasaidia baadhi ya exports kuongezeka na imports kupungua. Kushuka kwa ghafla kama Zimbabwe ndo tatizo.
Sasa hivi kila kukicha Demand ya Dola inaongezeka kuliko supply nchini. Kwa sababu zifuatazo:
Nini kifanyike?
- Uagizaji na utegemezi wa bidhaa za nje ambao hutumia hela za kigeni (magari, mitambo, madawa, mafuta, karatasi, silaha, radar, ndege ya Rais n.k)
- Malipo ya watumishi wengi katika sekta binafsi na baadhi ya Serikali kwa kutumia dola
- Kuporomoka kwa kwenda mbele kwa export ya mazao ya biashara (source pekee ya fedha za kigeni)
- Safari zisizokuwa na tija za viongozi wetu nje (Hawatumii madafu kule yakhe)
Tuanze na yale yaliyo ndani ya uwezo wetu. Jambo kubwa ni kuhakikisha tunapunguza matumizi na demand ya dola humu nchini kama vile, malipo ya wafanyakazi wa kigeni, malipo kwenye huduma mbalimbali kama hotel n.k ziwe strickly kwa fedha za Tanzania. Hii itasaidia kuongeza thamani ya fedha yetu na kupunguza (maintain thamani ya fedha za ng'ambo). Pia tukazanie kubuni export ili tuongeze fedha za kigeni. Chanzo kimojapo cha export ni rasilimali bahari, Kwenye bahari kuu kuna rasilimali ya kutosha kama samaki na mazao ya bahari ambayo yana high demand katika nchi nyingine. Mnakumbuka ile meli ya magufuri? Tukomalie mazao yetu yaliyokuwa yanatutoa kimasomaso siku za nyuma (kahawa, Korosho, Pamba, Chai n.k).
Tutumie ardhi yetu kwa kulimo cha maua na kuiyasafirisha nje kama wenzetu Kenya wanavyofanya (hapa inahitajika seriousness kidogo); if kenya with no arable land can, why not us? Pia rasilimali madini itumike kwa kunufaisha taifa na si watu wawili.
then, central bank ije na role yake....
Tanzania enzi za mwalimu na miaka ya mwanzo ya Mwinyi tulikuwa tuna uza nje vitu vingi na kulikuwa hakuna demand kubwa ya dola (foreign currency kama ilivyo sasa).
Tulikuwa tunauza nje mazao ya biashara yafuatayo:
Demand ya dola (na foreign currency nyingine) ilikuwa ndogo sana, kwani vitu vingi Tanzania ilikuwa inaagaiza kupitia China ambako kulikuwa na agreement kati ya serikali ya Tanzania na Zambia kwa kuitumia China kujenga reli ya Tazara. Nao tuliwapatia malighafi ya kutosha. nahisi hata silaha tulikuwa tunazipata China kwa mtindo huo huo. Tulikuwa tunatoa vidola vichache kwenye uagizaji wa bidhaa kama mafuta na madawa.
- Pamba
- Kahawa
- katani
- Chai
- Korosho
- Dhahabu
- Almasi
- Tumbaku (Kiasi kidogo)
Sasa hivi kila kukicha Demand ya Dola inaongezeka kuliko supply nchini. Kwa sababu zifuatazo:
Nini kifanyike?
- Uagizaji na utegemezi wa bidhaa za nje ambao hutumia hela za kigeni (magari, mitambo, madawa, mafuta, karatasi, silaha, radar, ndege ya Rais n.k)
- Malipo ya watumishi wengi katika sekta binafsi na baadhi ya Serikali kwa kutumia dola
- Kuporomoka kwa kwenda mbele kwa export ya mazao ya biashara (source pekee ya fedha za kigeni)
- Safari zisizokuwa na tija za viongozi wetu nje (Hawatumii madafu kule yakhe)
Tuanze na yale yaliyo ndani ya uwezo wetu. Jambo kubwa ni kuhakikisha tunapunguza matumizi na demand ya dola humu nchini kama vile, malipo ya wafanyakazi wa kigeni, malipo kwenye huduma mbalimbali kama hotel n.k ziwe strickly kwa fedha za Tanzania. Hii itasaidia kuongeza thamani ya fedha yetu na kupunguza (maintain thamani ya fedha za ng'ambo). Pia tukazanie kubuni export ili tuongeze fedha za kigeni. Chanzo kimojapo cha export ni rasilimali bahari, Kwenye bahari kuu kuna rasilimali ya kutosha kama samaki na mazao ya bahari ambayo yana high demand katika nchi nyingine. Mnakumbuka ile meli ya magufuri? Tukomalie mazao yetu yaliyokuwa yanatutoa kimasomaso siku za nyuma (kahawa, Korosho, Pamba, Chai n.k).
Tutumie ardhi yetu kwa kulimo cha maua na kuiyasafirisha nje kama wenzetu Kenya wanavyofanya (hapa inahitajika seriousness kidogo); if kenya with no arable land can, why not us? Pia rasilimali madini itumike kwa kunufaisha taifa na si watu wawili.
then, central bank ije na role yake....
Tunafanya importation ya hata Mayai, Nyanya, Bilinganya, Uyoga, Kuku, Apples, Embe toka SA. Free market hiyo eti. - Nimekusoma mkuu thanks
kushuka kwa shs kunasababishwa na uwiano usio sawa wa mzunguko wa fedha za kigeni zinazotoka na zinazoingia
kwa tanzania hii inasababishwa na kushuka kwa bidhaa zinazouzwa nje na kuongezeka kwa bidhaa zinazoingizwa nchini
na vile vile kuna ongezeko kubwa la kampuni za kigeni zinazofanya kazi maalum ndani ya nchi yetu na kulipwa fedha za kigeni
na si hivyo tuu bali ata mabenki ya tanzania yameanzisha account zinazotunza fedha kwa mfumo wa fedha za kigeni hii kwa
namna moja inaweza kuraisisha kuhamisha fedha za kigeni toka nchini kwetu kwenda nchi yeyote bila vizuizi
MADHARA YA KUSHUKA KWA SHS
inatugharimu kutumia pato kubwa la nchi kuagiza bidhaa toka nje na pia kuuza bidhaa zetu kwa bei ndogo sana hivyo
kuleta hasara kwa watanzania hasa wafanyabiashara na hivyo kusababisha sisi tuwe soko la bidhaa za kigeni
FAIDA INAYOWEZA KUPATIKANA KWA KUSHUKA KWA FEDHA YETU
Kama tutajenga viwanda vingi nchini kwetu inamaanisha kushuka kwa shs yetu kutafanya bei ya bidhaa zetu kuwa chini
kulinganisha na bidhaa toka nje hivyo basi wananchi wengi watatumia bidhaa zetu na kuacha bidhaa za kigeni na vilevile
bidhaa zetu zitakuwa na soko kubwa katika nchi za kigeni, mfano ni nchi ya CHINA ambayo kwa makusudi imeshusha thamani
ya fedha yake YUAN ili kulinda na kuongeza soko la bidhaa zake na hii ndiyo sababu ya kuzuka kwa vita ya fedha yani
currency war kati ya marekani na uchina ambayo imepelekea marekani kufungua kesi WTO ili kuilazimisha china kuongeza
thamani ya fedha yake
Kabisa, hebu tembelea Shoprite, shoppers supermarket na ile ya sea clfiff village...kila kitu pale is from either Kenya or SA. Hatuwezi kuwa na favourable balance of payment hapo. Labda turudi pale pale kwenye mada yetu... Tunahitaji sana dola kununua upuzi wote ule..na dola zitatoka wapi kama hatuzalishi dola kwa export? hilo ndio tatizo. tatizo kubwa la kuanguka kwa shilingi ni biahsara inayotiririka upande wetu tu!
Exactly, lakini China wameweza kwa sababu ya kuwa na technical know how ya kuzalisha bidhaa mbalimbali na usimamiaji murua wa mali za Umma. Sie ni wategemezi wakubwa, hakuna kitu tunachoweza kuzalisha. na hili ni tatizo la nchi nyingi za kiafrika (ukitoa SA). Kwahiyo, the only better solution ni kufanya yale tunayoweza vizuri, kuzalisha bidhaa za kilimo na kuuza, na kutegemea rasilimali zetu!! We failed even to continue assembling Scania at our Kibaha, Subscania yard! shame!! baiskeli tumeshindwa pia... UFI kimekufa, Fishnet imekufa, Urafiki inasuasua. Sisi tumekuwa ni Taifa la watumiaji wa bidhaa za wenzetu.