Why stuli za bar ni ndogoo

Nashukuru kwa hilo mkuu otherwise inabidi unihakikishie una bima ya kutosha incase of anything in ma life maana wengi wanaondokaga wakiwa lodge na mizinga kama hiyo .....ukiwa na bima kidogo inanipa moyo ndugu awapati shida kwenye jeneza zaidi kukodi wale jamaa zetu wanaolia

kwi kwi kwi
 
ALAFU BADO BINADAMU WALIVYO WABAYA WANATAKA WALIPE VAT

ZIGO KAMA HILI UNAANZAJE KUMTOZA VAT ......HATA MAREHEMU NAANII WA TRA ZAMANI ANGEAMKA JAMANI

 

pdidy wewe jikoki na makaranga na mihogo
vi....ag.waachie mabilionea la sivyo utakuwa na jina jingine kabla ya 2015..Marehemu
 
Amekalia mbili kwa mpigo!

Kioo, ha ....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…