Why should I get married?


Kumbukumbu zangu zinaniambia hauko sahihi. Umesahau kidogo miaka mkuu.
 
Oa/olewa ili uondoe upweke. Kuna wakati ndugu,jamaa na marafiki wanakuwa busy na mambo yao kiasi kwamba hata kama ungekuwa mgonjwa,hawawezi kuwa nawe muda wote lakini mwenza daima atakuwa nawe akikushauri na kukufariji usiku na mchana! Nakushauri uoe/uolewe upweke unatesa kuliko unavyoweza kudhani.
 
Yes you know how to spoil ladies,but she can only be the main chic not a concubine only that I can agree.....

nyie madada ndio mnakosesha wachumba wadogo zenu kwa kuwa too protective!!
 
Wanogeshaji ni wengi lakini bado sijapata urge ya ndoa,naelewa ni kitu muhimu sana kama nilivyosema hapo mwanzo....lakini kama hakuna upendo ni kazi bure
Ok..Mr perfect is somewhere waiting...hopefully!Goodluck!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…