Why me?

Why me?

sokwe kama unajisikia kumsaidia wewe msaidie tu;
Elewa kwamba safari ya maisha yenu bado ni ndefu.
ha haaa, huyo dada keshaona sehemu ya kuvuna....
mdogo wangu sokwe, sijui kwa nini umejiita sokwe? anyway....
huyo mdada amejua weekness yako. pamoja na wewe kuwa mbali naye amejua una-feelings naye na utaliwazia tu atakalokuambia. labda baada ya kuachana alishakutokea tena na akaona upo weak kwake, ndo maana anacheza na hisia zako. Ingekuwa mwingine wala asingeanzisha huu uzi, angepotezea tu, ila wewe kwa kuanzisha huu uzi ni kwamba unalifikiria saanaaaa, na unataka ushauri wa watu ili uweze kufanya unachotamani kufanya.
Kama alivyosema Mamndenyi, kama unaona ana shida kihiivyoooo, msaidie. huwezi kujua haya maisha.
 
Last edited by a moderator:
mapenzi ya cku hz bwana ! yanabebwa na pesa na watu kusahau fadhila.! achana nae bwana Hakufai..
 
Hapana.. Fixed point sijawahi kuwa na mawasiliano nae kwa zaidi ya miaka 10! Alivyomaliza masomo yake na kurudi bongo aliwahi kukutana na Mdogo wangu mitaa ya samora na kumuuliza nipo wapi na kujaribu kuomba namba yangu ya simu ila Mdogo alimkatalia kiaina, sijui aliipata wapi isipokuwa na wasiliana na watu wengi sana kwa kweli.
 
Hapo ndo unapokosea kwani kumsaidia mtu lazima muwe na mahusiano na je mtu akiwa na ndugu UK ndio kigezo cha hao ndugu kuwa na pesa au kuwa msaada kwa wengine. Ni kweli alikuumiza na mlishatengana lkn bado unaweza kumsaidia kama mtu yeyote with no strings attached. Kumbuka si wote tunaowasaidia wana tabia njema au walitutendea wema hapana. Wengine tunawasaidia tu kwasababu tunawiwa kufanya hivyo. Sasa kama unaweza msaidie na siku nyingine mweleze machungu yako yaan i alichokufanyia na kwamba ulishamsamehe. Na mfahamishe uhusiano wenu ni wadada na kaka na si vinginevyo. USHINDE UBAYA KWA WEMA.
 
Najaribu ... Ablessed ila roho yangu nzito, nafikiri hata ungekuwa wewe pia ungewaza mengi.
 
Sasa kama roho yako nzito si ufuate roho yako banaaa!!!....Siku zote kumbuka kipenda roho hula nyama kavu.

Najaribu ... Ablessed ila roho yangu nzito, nafikiri hata ungekuwa wewe pia ungewaza mengi.
 
sokwe anachezea mapenzi;
Kama huyo dada anamtaka atahakikisha anampata
hata akiwa ndani ya ndoa.

Sasa kama roho yako nzito si ufuate roho yako banaaa!!!....Siku zote kumbuka kipenda roho hula nyama kavu.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Hapana Mamndenyi ktk vitu ambavyo mama yangu mzazi alinionya ni kutocheza na wake za watu,hata hivyo sina mapenzi nae kabisa na ajabu ya mungu tangu nimepost hii thread sijapata texts wala simu zake! Sijui yupo hapa jf!
 
Hapo ndo unapokosea kwani kumsaidia mtu lazima muwe na mahusiano na je mtu akiwa na ndugu UK ndio kigezo cha hao ndugu kuwa na pesa au kuwa msaada kwa wengine. Ni kweli alikuumiza na mlishatengana lkn bado unaweza kumsaidia kama mtu yeyote with no strings attached. Kumbuka si wote tunaowasaidia wana tabia njema au walitutendea wema hapana. Wengine tunawasaidia tu kwasababu tunawiwa kufanya hivyo. Sasa kama unaweza msaidie na siku nyingine mweleze machungu yako yaan i alichokufanyia na kwamba ulishamsamehe. Na mfahamishe uhusiano wenu ni wadada na kaka na si vinginevyo. USHINDE UBAYA KWA WEMA.
Katika walio ongea dada umenena! Kwa jinsi hii unampilia makaa mwenyewe na atakuwa anasutwa ndani! Ila kuwa makini usije anzisha mahusiano nae tena!
 
Thanks...Cataliya, but it ain't easy.
 
pole kwa matatizo yote yaliyokupata best
ni vyema ukajifanyia mambo yako mwenyewe bila
kuumia na huyo mdada mwachie Mungu yeye anaweaza
utampata yule umpendaye
 
I hope so ladyfurahia.
 
Mkuu hebu achana nae kama alikutosa inamaana bado unamsikiliza wa nini tena ..mind ur business.
 
Sina muda nae mkuu, wala sikua na shida ya kumtafuta ila yeye ndie alienitafuta, ila nimeshamalizana nae.
 
sokwe are u still craying for her. Ila karoho kanakuuma kumwacha eti eeh?
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha.. Mamndenyi roho haiwezi niuma hata chembe, I'm doing pretty good and she is in deep shit, what goes around comes around.
 
Back
Top Bottom