Why me?

Why me?

Nilitokea kumpenda kitambo not anymore, kumsaidia kwangu ilitokana na kumuonea huruma Hana wazazi na sister yake waliokuwa wana share baba alikuwa anamfanyisha kazi za nyumbani Kama punda, na alikuwa anaonyesha Ana uwezo wa kusoma. Wakati mwingine nasema angelelewa na wazazi wake pengine asingekuwa na hii tabia.

Ma dia tabia ya mtu ni km ngoz alishasema Mrisho Mpoto.. Huwez kuibadilisha. Ulichofanya kwa moyo wako its not bad. Amin Mungu ataulipia upendo wako na kukupa wa kuendana nae na atakuwa poa zaid ya huyo x.
 
Thanks @ atug, I'm tryin to patient and persistence that's all matter.
 
Ma dia tabia ya mtu ni km ngoz alishasema Mrisho Mpoto.. Huwez kuibadilisha. Ulichofanya kwa moyo wako its not bad. Amin Mungu ataulipia upendo wako na kukupa wa kuendana nae na atakuwa poa zaid ya huyo x.
mhhh mbona una signature yangu?
 
sokwe, swali moja kwako toka kwangu.
Una binti mwingine au ushaoa?
narudi ukishajibu
 
Last edited by a moderator:
Sijaoa wala sina binti mwingine kwa sasa @ hekimatele.
 
Nilitokea kumpenda dada mmoja wakati nipo mlimani nasoma. Dada huyu alitokea mwanza alikuwa na dada yake mkubwa akiishi mtaani kwetu, walikuwa wamezaliwa baba mmoja ila mama zao mbali mbali ila wazazi wa huyu msichana wote walishafariki,alikuwa amemaliza secondary. Sister wake mkubwa akawa anamfanya Kama msichana wake wa kazi lakini nikamshauri aendelee kusoma atakubali ila akawa Hana uwezo wote wa kujilipia shule kwahiyo akawa anafanya kazi temporary huku anasoma na Mimi nilimsaidia baadae akaja kupata kazi tra na Mimi nikawa nimemaliza masomo yangu ila nikawa sijapata ajira kwahiyo nikawa namsaidia baba yangu kazi za ofisini kwake, huyu dada akaja kunibadilikia kabisa na kunifanya Mimi nionekane sio level yake kabisa uhusiano wetu ukafa ila niliumia sana, akawa hata akipita karibu na ofisini kwa mdingi na marafiki zake hanisalimii kabisaa! Nikawa najihisi vibaya sana, baadae nikapata scholarship ya kuja kusoma Japan nae akaenda kusoma holland, nilipomaliza masomo yangu nikapata kazi sasa amerudi bongo Hana kazi kwani tra alifukuzwa sababu hasa sijui ila kuna cheti chake kimoja alifoji na kutumia cha Mdogo wangu japokuwa uhusiano wetu ulikufa nikiwa bado nipo bongo sikuona sababu ya kumharibia maisha yake, kinachonishangaza ametafuta namba yangu ya simu na kunitumia texts kwamba amepata kazi kwenye ofisi ya ku print vitabu japokuwa sio taaluma yake ameamua afanye huku akitafuta kazi nyingine ila anaomba nimsaidie pesa za kujikimu baadae atanirudishia! Najiuliza angekuwa na maisha mazuri angenitafuta? Why now? Na inaonyesha amesahau yote alionifanyia! Na pia Ana dada zake wawili wa baba mmoja,mama mmoja wanaishi uk kwann wasimsaidie ndugu Yao? She seems to be in serious problem. Voice messages ni nyingi na texts, naombeni ushauri wakuu.

Sasa sokwe kwa hili waomba ushauri upi? hii ni dalili ya mtu ambae anakosa maamuzi hata kwa jambo dogo
 
Ina maana siku zote ulikuwa hujapata mwingine, ulikuwa bado unaomboleza? Kama uliomba upewe chance tena haya chunwa halafu akipata tena kazi nzuri akukimbie!

Mtu anayependa kujipima kwa anachopata, si binadamu na hana huruma, HABARI NDIO HIYO?
 
Mkuu naomba umsaidie tu kama kweli upo kwenye nafasi nzuri ya kufanya hivyo si vema kuhesabu mabaya uliyotendewa kwa wakati huu
Hakika nakwambia kama wanadamu tusingekuwa na roho ya kusamehe na tukaendelea na maisha yetu dunia hii ingelikuwa ni sehemu moja ya ajabu sana
Tenda wema pasipokutegemea return yoyote
 
I'm a little bit skeptical but I might consider helping her but my heart is heavy, thanks for ur advise @ mwanaka.
 
Nilitokea kumpenda dada mmoja wakati nipo mlimani nasoma. Dada huyu alitokea mwanza alikuwa na dada yake mkubwa akiishi mtaani kwetu, walikuwa wamezaliwa baba mmoja ila mama zao mbali mbali ila wazazi wa huyu msichana wote walishafariki,alikuwa amemaliza secondary. Sister wake mkubwa akawa anamfanya Kama msichana wake wa kazi lakini nikamshauri aendelee kusoma atakubali ila akawa Hana uwezo wote wa kujilipia shule kwahiyo akawa anafanya kazi temporary huku anasoma na Mimi nilimsaidia baadae akaja kupata kazi tra na Mimi nikawa nimemaliza masomo yangu ila nikawa sijapata ajira kwahiyo nikawa namsaidia baba yangu kazi za ofisini kwake, huyu dada akaja kunibadilikia kabisa na kunifanya Mimi nionekane sio level yake kabisa uhusiano wetu ukafa ila niliumia sana, akawa hata akipita karibu na ofisini kwa mdingi na marafiki zake hanisalimii kabisaa! Nikawa najihisi vibaya sana, baadae nikapata scholarship ya kuja kusoma Japan nae akaenda kusoma holland, nilipomaliza masomo yangu nikapata kazi sasa amerudi bongo Hana kazi kwani tra alifukuzwa sababu hasa sijui ila kuna cheti chake kimoja alifoji na kutumia cha Mdogo wangu japokuwa uhusiano wetu ulikufa nikiwa bado nipo bongo sikuona sababu ya kumharibia maisha yake, kinachonishangaza ametafuta namba yangu ya simu na kunitumia texts kwamba amepata kazi kwenye ofisi ya ku print vitabu japokuwa sio taaluma yake ameamua afanye huku akitafuta kazi nyingine ila anaomba nimsaidie pesa za kujikimu baadae atanirudishia! Najiuliza angekuwa na maisha mazuri angenitafuta? Why now? Na inaonyesha amesahau yote alionifanyia! Na pia Ana dada zake wawili wa baba mmoja,mama mmoja wanaishi uk kwann wasimsaidie ndugu Yao? She seems to be in serious problem. Voice messages ni nyingi na texts, naombeni ushauri wakuu.

Kila demu ana zoba lake, wewe ndo zoba la huyo dada! Akiwa na matatizo anakutafuta! Nina uhakika utamsaidia then atakukimbia tena, we si Zoba wake bwana?
 
Kwahiyo na wewe ni zoba wa mtu? @ kinigini. Usijari ni maisha tu...tuna mitazamo tofauti.
 
Very simple answer, mwambie I don hv money!



are you now up to her standard?

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Nilitokea kumpenda dada mmoja wakati nipo mlimani nasoma. Dada huyu alitokea mwanza alikuwa na dada yake mkubwa akiishi mtaani kwetu, walikuwa wamezaliwa baba mmoja ila mama zao mbali mbali ila wazazi wa huyu msichana wote walishafariki,alikuwa amemaliza secondary. Sister wake mkubwa akawa anamfanya Kama msichana wake wa kazi lakini nikamshauri aendelee kusoma atakubali ila akawa Hana uwezo wote wa kujilipia shule kwahiyo akawa anafanya kazi temporary huku anasoma na Mimi nilimsaidia baadae akaja kupata kazi tra na Mimi nikawa nimemaliza masomo yangu ila nikawa sijapata ajira kwahiyo nikawa namsaidia baba yangu kazi za ofisini kwake, huyu dada akaja kunibadilikia kabisa na kunifanya Mimi nionekane sio level yake kabisa uhusiano wetu ukafa ila niliumia sana, akawa hata akipita karibu na ofisini kwa mdingi na marafiki zake hanisalimii kabisaa! Nikawa najihisi vibaya sana, baadae nikapata scholarship ya kuja kusoma Japan nae akaenda kusoma holland, nilipomaliza masomo yangu nikapata kazi sasa amerudi bongo Hana kazi kwani tra alifukuzwa sababu hasa sijui ila kuna cheti chake kimoja alifoji na kutumia cha Mdogo wangu japokuwa uhusiano wetu ulikufa nikiwa bado nipo bongo sikuona sababu ya kumharibia maisha yake, kinachonishangaza ametafuta namba yangu ya simu na kunitumia texts kwamba amepata kazi kwenye ofisi ya ku print vitabu japokuwa sio taaluma yake ameamua afanye huku akitafuta kazi nyingine ila anaomba nimsaidie pesa za kujikimu baadae atanirudishia! Najiuliza angekuwa na maisha mazuri angenitafuta? Why now? Na inaonyesha amesahau yote alionifanyia! Na pia Ana dada zake wawili wa baba mmoja,mama mmoja wanaishi uk kwann wasimsaidie ndugu Yao? She seems to be in serious problem. Voice messages ni nyingi na texts, naombeni ushauri wakuu.

mpe tu kwani toka mwanzo ulishaonesha nia ya kumsaidia fanya kama unasaidi mtu asiejiweza nna usisubiri shukurani.. ndio maana unnaambiwa tenda wema uende zako kwani shukrani ya punda ni mateke..
 
Kwahiyo na wewe ni zoba wa mtu? @ kinigini. Usijari ni maisha tu...tuna mitazamo tofauti.

Elewa kila demu ana Zoba wake. Sasa kuna mazoba ambayo hayajapata wamiliki, mi ni mmoja wa hayo ambayo hayajapata wamiliki.
 
Na Mimi sijapata kwa sasa mkuu @ kanigini ila nafikiria kibinadamu tu, uenda amebanwa sana.
 
Narudia tena mistari ya marehemu (RIP)

Kimbia fasta, toka nduki we kimbia ukianguka ukiumia najua utavumilia.
 
Hio ni tabia ya wanawake weng hata ukimsaidia tena kuna cku atausahau msaada wako kama mwanzo! Hivo fanya vle kam moyo wako unavoku2ma.
 
Back
Top Bottom