mafinyofinyo
JF-Expert Member
- Nov 29, 2012
- 4,404
- 3,276
Achana nae.... Kaa mbali kabisa.... Huwezi kubadili nature ya mtu... Atachange tu huyo.... Yupo mmoja tulipendana sana ila ghafla tu akaniacha.... Nikambembeleza sana akaniambia hataki kua na Mwanaume... Nikapiga moyo konde akaenda... After one year akanitafuta alikua na shida ya pesa ya kumalizia ada chuo... Nikafeel the gape... Tukawa tunawasiliana kama kawaida ila ni kama marafiki ambao wanahisia za kupendana.... After two weeks akawa harespond tena... Hapokei cm wala kujibu msg..
Siku alilipopokea simu nilimuuliza mbona hivyo lakini akaniambia "KWANI LAZIMA BWANA" Roho iliniuma sana... Kiukweli haikua lazima... Basi nikamwambia am sorry... Sikujua kama ninamsababishia usumbufu kiasi hicho... Ni miaka miwili sasa tangu anitamkie hilo neno "kwani lazima bwana" mpaka leo nasikia echo yake... Juzi kati rafiki yake alifiwa na baba yake akaniomba tena msaada wa pesa hiyo sauti ya kwani lazima bwana ilinisumbua sana mpaka niliposimama ktk kibanda cha ATM... Nikajifanya siisiki hiyo sauti nikajifariji kua anataka msaada wa pesa za msiba so as long as kifo hutufika sote nikampa... Ila bado anakakiburi flani hivi..
So huyo kaa nae mbali sana... Ikiwezekana mwambie pesa zako zote zinapitia kwa girlfriend wako wa sasa so asubiri upate nafasi uzungumze nae then later on mwambie mambo hayakwenda vizuri so there is no money...... TAMATI
Aseee wewe ni boya kuliko huyo mwenzako! Inakuwaje msichana unamdekeza kiasi hicho?!