Mpevu
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 1,805
- 173
Wadau,
Naomba tuelimishane au kukumbushana juu ya wanawake, ya kwamba:-
Naomba tuelimishane au kukumbushana juu ya wanawake, ya kwamba:-
- Kwa nini wanawake hawapendani
- Kwa nini wanawake wanadharauliana sana
- Kwa nini wanawake wanapohitaji huduma huwa hawapendezwi kuhudumiwa na wanawake wenzao
- Waongeleapo 'haki sawa' na wanaume,, je iwaje hakuna upendo baina yao hata awe na rank kiasi gani
- Je itokeapo mwanamke awe ndio jemedari mkuu wa nchi yetu,, hapo itakaaje kwa akina mama wenzao