Why is diamond EAs best?

Who said everybody loves Diamond an artiste whose only inspiration is love when music is all about poetry and I was forgetting with Rabbit their is no African who matches him in musical poetry

unaonaje ukiandika kiswahili ?
 

Kupendwa naturally ndo nini, kwani Alikiba imetokea tu akapendwa au kazi zake ndo zimemfanya apendwe?
 
I was forgetting with Rabbit their is no African who matches him in musical poetry

Rabbit? Kaka Sungura?? We got authentic lyrical Poets that he'll be grateful to open-up for man. His lane is Octo's, keep his name there.
 
Kupendwa naturally ndo nini, kwani Alikiba imetokea tu akapendwa au kazi zake ndo zimemfanya apendwe?

Akili zako, ongeza na maneno yangu then utapata jibu, sio razima tukeshe hapa kwa kujadili kitu ambacho hakitupi any gain, kwa jinsi ulivyouliza ni wazi kuwa umenielewa ila unataka tu kubishana kitoto. Sasa bahati mbaya mimi sio kijana kama ulivyokuwa umeniita mwanzoni, vivo hivo sijui km naww ni kijana ama upo km mimi, so sio mbaya tukiishia hapa kwa kuoesha wewe ni gentleman.
 

Sorry, huwezi kuwa mzee na ukashabikia Tamaduni Muziq, ni lazima utakuwa kijana tena unayetumia cha Arusha
 
Sorry, huwezi kuwa mzee na ukashabikia Tamaduni Muziq, ni lazima utakuwa kijana tena unayetumia cha Arusha

Nikweli sio mzee ila ni tofauti na kijana, na kuhusu cha Arusha mbona spika wa bunge anajua ipi kali na ipi sio kali...! Sasa sembuse mimi ninaeiona imeota kwenye shamba langu la mtama.
 

Eti ehheeeeh
 
Nikweli sio mzee ila ni tofauti na kijana, na kuhusu cha Arusha mbona spika wa bunge anajua ipi kali na ipi sio kali...! Sasa sembuse mimi ninaeiona imeota kwenye shamba langu la mtama.

Hayaa, anyway kwanini Nikki Mbishi ana misimamo ya kike, kasema kaacha game halafu anaendelea kutoa ngoma, ndo misimamo ya hipapu hiyo?
 
Sorry, huwezi kuwa mzee na ukashabikia Tamaduni Muziq, ni lazima utakuwa kijana tena unayetumia cha Arusha

hahahah ulipo taja tu tamaduni music nikamkumbuka jamaa mmoja hivi wa kuitwa nash MC.yule jamaa kila jambo hata liwe jema vipi,yeye hulichukulia kiitikadi za ki-hiphop.
 
hahahah ulipo taja tu tamaduni music nikamkumbuka jamaa mmoja hivi wa kuitwa nash MC.yule jamaa kila jambo hata liwe jema vipi,yeye hulichukulia kiitikadi za ki-hiphop.

Anajiita 'Korea Kaskazini', jamaa bwana, ukimbishia kitu hakawii kukuita shoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…