Wamemchezea RABBI Bluray
Kweli Bluray ni kama tembo anayepigana na mchwa, Thats is not fair my friend. LOL
Bluray bado unakula maisha?
Dakika tano zimekuwa mawiki, mawiki yatakua miezi, na miezi itakua miaka.
Blueray...
Nakushauri kufanya research pia kwenye uislam...
Naona research zako zote za kukataa kuwepo kwa mungu
zime base kwenye ukristo zaidi....
Almost all atheists were christians before.including you.
Wachache kama wapo ambao walikuwa waislamu.
Uislamu, kwa mtu anayejua historia za dini, ni offshoot ya ukristo na uyahudi.Mzizi wa uislam ni Muhammad alipoona kuwa wakristo na wayahudi wana vitabu vya dini lakini waarabu hawana kitabu cha kuwaunganisha, mtume mwenyewe akasema " we have to be like the people of the book".Sasa alipoanza kuandika Quran -yes ali dictate kwa kuwa alikuwa illiterate, na wala haikushushwa kutoka kwa mungu, hakuna mungu sasa ingeshushwaje?- .So alipoanza ku dictate tayari kulikuwa na Cosmology na Cosmogony iliyokubalika, na rather than to start from scratch with a new Cosmology, Cosmogony and cast of characters, yeye akalift tu parts za the then existing traditions, ndiyo maana waislam wana nabii Adam, wana nabii Issa etc.
Ndiyo maana sisemi "Christian god" nasema "Judeo-Christian" god. Kwa mtu anayejua designation hii ya Judeo-Christian na historia yake atajua tofauti nyingi za hii na uislam ni superficial tu na si fundamental.kwa mfano, tofauti za Ukristo/Uyahudi ukizilinganisha na tofauti za Uislam on the one hand, halafu ukaweka on the other hand tofauti za Uyahudi/Ukristo na ubudha, utaona kuna fundamental differences between Uyahudi/Ukristo na ubudha kuliko tofauti za Uyahudi/Ukristo na Uislamu.
Na nilishasema hapo mwanzo kwamba, ninaposema "Judeo-Christian" namaanisha Uyahudi, Ukristo na Uislam. Mathalani, dini zote tatu zinaamini katika mungu mmoja (wakristo wana utata wa utatu, lakini kimsingi wana spin kwamba ni mungu mmoja mwenye nafsi tatu) ma budha hawaamini katika mungu ila wanaamini kwamba kila mtu ana hali ya uungu na anaweza kuwa Buddha.Big difference.
Sababu nyingine naona waislam hawako coherent (not that wakristo wako that much coherent anyway) ila waislam wana institutionalized incoherency kiasi wanakwambia kabisa kwamba kama kuna mistari ina inconsistency tumia ule wa mwisho, sasa kitabu cha mungu hicho?
The reason nina stick sana kwenye ku dispute uwepo wa mungu rather than kudeal na specific theological issues ni kwamba mungu is a cental figure of Christianity, Judaism, Islam pamoja na dini nyingine nyingi, na nikiweza kum dismantle huyu mungu nitatawanya huu uongo wa imani ya mungu katika dini nyingi kwa wakati mmoja.
The reason nina stick sana kwenye ku dispute uwepo wa mungu rather than kudeal na specific theological issues ni kwamba mungu is a cental figure of Christianity, Judaism, Islam pamoja na dini nyingine nyingi, na nikiweza kum dismantle huyu mungu nitatawanya huu uongo wa imani ya mungu katika dini nyingi kwa wakati mmoja.
Bluray,
I thought you wanted to engage in a well structured, logical argument. At one time you even suggested that I start from where you stood (that there is no God) and argue the existence of God from that. But you fail to see the absurdity of your own undertaking: you are trying to prove your premise!
I am also beginning to wonder about whether you care about clarity of ideas. I stated that those who deny the existence of God are in the minority, and you conclude from that that I said majority belief implies truth! I expect, from you, a better use of the rules of inference.
To begin with, you must be clear about your overall objective. It cannot be to prove that God does not exist because you take that as your premise. If you want to prove that belief in God leads to a contradiction, then you need to take belief in God as your premise. All this is Logic101 which I assume you are familiar with.
I will continue to have an interest in this only if you are willing to make the discussion more focussed. General lashing out at beliefs will not do.
Blueray,
Nakushauri usome kuruani tukufu Inshalllah itakusaidia na kujibu maswala yako yote.
http://www.quranitukufu.net/
http://quran.com/
The Quran, even with the advantage of time, is worse than the old testament, which is pretty terrible in itself.
Nimeongea kuhusu inconsistency ya gospels, msomi yeyote wa biblia anayajua haya.Ni zamu yako kuyafanyia uchungui na kuja na maswali kama yapo.
Simple protein ilianzia wapi? Did it just evolve?
Bluray
have a look on the following,
Hayo ni malezo yako.HTML:Nimeongea kuhusu inconsistency ya gospels, msomi yeyote wa biblia anayajua haya.Ni zamu yako kuyafanyia uchungui na kuja na maswali kama yapo.
Na hii ni perception ni ya wengine
Scientists Decode Dead Sea Scrolls with DNA and Infrared Digital Photography
Excavated between 1947 and 1956, the texts are composed of three types of documents;biblical manuscripts, early versions of the canonical Old Testament; apocrypha, non-canonical books similar to those in the Old Testament; and commentaries, other documents discussing Biblical books and law.
In 1949, scientists using carbon-14 dating techniques dated the Dead Sea Scrolls to be somewhere between 1900 and 2200 years old, at that time predating the oldest known Biblical texts in Hebrew, the medieval Aleppo Codex (Tiberias, 920 CE) and Leningrad Codex (Cairo, 1010 CE), by more than 1000 years.
In addition to being displayed in museums, DNA analysis, infrared photography, and high-speed computers have allowed several of scrolls to be displayed digitally online.
For example, the Shrine of the Book offers on-line visitors the chance to view a complete 2,000 year-old scroll of the Book of Isaiah-a religious and scientific triumph for Israel.
"The book of Isaiah is the gem of Jewish nation," Roitman concluded.
Benjamin Somers
8 November 2006
Ukitaka issue yote check hapa http://www.aaas.org/news/releases/2006/1108scrolls.shtml
Kama biblia ni kitabu cha mungu, just to pick one example, mbona huyo Joshua kakosea astrophysics yake kwa kusema kwamba mungu alisimamisha jua ili lisizunguke dunia na kuwapa waisraeli muda zaidi wa daylight ili washinde vita instead of kusimamisha dunia ambayo we all know ilikuwa inazunguka jua? Au unataka kusema enzi hizo jua lilikuwa linazunguka dunia?
Do you understand the difference between heliocentrism and geocentrism? If you do, then Joshua ni bonge la ganga ongo, worse than Sheikh Yahya.
Mimi nilifikiri unaleta ushahidi wa direct, kumbe unaleta habari za Nero aliyetawala miaka zaidi ya hamsa baada ya kuzaliwa Yesu?NERO
Nero Claudius Caesar Augustus Germanicus (15 December AD 379 June AD 68)
Nero ruled from 54 to 68.
1)Hii iko ndani ya kipindi kinachoitwa Eye Witness Period
Kwa maana ya kwamba wengi wa walio ishi wakati huo
walimfahamu kwa kumuona Yesu.
Now check this out:
Christian tradition
2)Early Christian tradition often holds Nero as the first persecutor of Christians and as the killer of Apostles Peter and Paul. There was also a belief among some early Christians that Nero was the Antichrist.
First Persecutor
3)The non-Christian historian Tacitus describes Nero extensively torturing and executing Christians after the fire of 64.[85] Suetonius also mentions Nero punishing Christians, though he does so as a praise and does not connect it with the fire.
Killer of Peter and Paul
4)The first text to suggest that Nero killed an apostle is the apocryphal Ascension of Isaiah, a Christian writing from the 2nd century. It says the slayer of his mother, who himself this king, will persecute the plant which the Twelve Apostles of the Beloved have planted. Of the Twelve one will be delivered into his hands.
5)Hao walio uwawa lazima walimfahamu Yesu vizuri na ndiyo
maana hawakuikana imani yao hata wakafa.
6)Yote haya(1-5) ni fiction?
7)Tacitus(non-Christian historian), Nero(the emperor), Peter & Paul(Apostles wa Yesu) na YESU mwenyewe WOTE HAWA NI fiction?
Mimi nilifikiri unaleta ushahidi wa direct, kumbe unaleta habari za Nero aliyetawala miaka zaidi ya hamsa baada ya kuzaliwa Yesu?
Mbona huja address inconsistency ya the gospels? Mbona Luka anasema Yesu kazaliwa wakati wa enzi ya Herode (aliyekufa 4 BC) Na wakati wa sensa ya Quirinius ( 6 AD) Tofauti ya miaka kumi? kama amekosea hapa mangapi kakosea? Kama kakosea hapa tutajuaje kama huyu Yesu alikuwa mtu mmoja at all na sio fictional character?