Smatta
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 2,350
- 730
Huwezi kusema "Why I am for and against the federation". Unless you are operating at some quantum level, you cannot be for and against the federation.
If the intention is to point your views of the pros and cons of the federation, the say so.
If you are for the federation, you are not against it.If you are against the federation, you are not for it. This business of "I am for and against the federation" is a contradiction and betrays poor communication skills.
Speaking of communication skills, labda angeandika Kiswahili angeweza kujieleza vizuri zaidi. Maana mtu akisoma anaona kama huyu muandishi anafikiri Kiswahili na kuandika Kiingereza, creating an English that is bastardized by the effects of excessive direct translation.
And that is just the first paragraph. Nachelea kuendelea paragraphs za mbele.
Hivi anavyosema "and look a close tie how it benefit a normal West African citizen today" hiyo close tie inaingiaje hapo? I am assuming anataka kusema "and look closely". Maana wengine tunaweza kuelewa alikuwa anatafuta tai iliyofungwa madhubuti kabisa wakati akipita katika makabrasha ya ECOWAS, hardly likely.
Labda Mchunguzi was right, there is a certain Pidgin English evolving in Tanzania.
Kiranga, I greatly enjoy reading your posts.