Kuanzia mwezi wa kumi 2010, JF imepata watu from every corner with either little or zero thinking capacity.
This is not the JF ambayo tulipigania kwa Manumba kuiacha alone. Just an advise Tanzania need more constructive thought than this defecive ideas. We need analyze things which hurts everybody.
For those who said is only Muslim who are poor then they're lunatic, because Poverty is deep across Tanzania. I visited almost every corner of Tanzania and we all share one thing, umasikini. So, instead of focusing on things which we differ, we should focus on what we've in common. Poverty, ufisadi, and many more.
This blind eye is why Middle East is suffering until leo, they only focus on Palestine vs Isreal conflicts, while there people are dying.
Use your head to think Mtanzania and not your butt. Tanzania need muslim and christian to move forward, we need one another. Solidality will start here, we're the so called educated Tanzanian right? Then act like one idiot.
Tuache kuamsha hisia za udini katika ukweli, tuwape Waislam credits katika hili, uwezo wao wa kufanya organisation na mobilisation ni mkubwa, zaidi wana uwezo wa kuthubutu...
umesahau moja ni watabiri wa nyota,wanamiliki na kutengeneza vinyamkera,vibwengo,popobawa na majini.wanato ulinzi wa majini kwa amiri mkuu wa majeshi tz(mashekh) =shirikWaislam ni wachapakazi wazuri. Ndio maana sehemu zenye waislam wengi huwezikuona mambo ya kijinga na kishirikina kama sehemu za kiristo. Mfano-wakristo ndo wanaochuna ngozi kule mbeya, wakristo wanaua vikongwe kule shinyanga, wakristo wanaua albino kule mwanza nk. Yote hayo uvivu na ufinyu wa akili.
umesahau moja ni watabiri wa nyota,wanamiliki na kutengeneza vinyamkera,vibwengo,popobawa na majini.wanato ulinzi wa majini kwa amiri mkuu wa majeshi tz(mashekh) =shirik
waislam ktk jamii ya watanzania wapo duni ktk huduma za elimu,afya,hawana uongozi unaokubalika na waislamu kwa pamoja.na la muhimu wengi wao hawana ajira za maofisini wengi wanauza maduka,sokoni,vijiweni etc hivyo hawana cha kuogopa kupoteza ajira.pia wakristo wataogopa investments zao walizonazo mashule,hospitali na mashirika yao ya misaada yanayofaidi misamaha na ruzuku za serikali.waislam hawana cha kupoteza zaidi ya uhai
Wakristo ni wanyenyekevu na wana upendo. Hawa wengine ni wakorofi, wachokozi na makatili.
Kasome shule, uchangamke. Siyo unabwabwaja tu hapa jamvini. Madrasa yako mnayofundishwa kwa bakora haiwezi kukusaidia kitu ndg yangu. Wewe huoni mashekhe wenu wanavyo-argue mambo kama watoto wa chekechea. Hayo ni madhara ya kuendekeza madrasa. Mngeelekeza nguvu kwenye mambo ya elimu kama mnavyoelekeza kwenye mambo ya ubwawa, pilau, kahawa na kashata, mngefunguka akili!!
nafkiri kwanza juu ya nature ya dini yenyewe yani mafundisho ya dini yenyewe mfano ukristo huelekeza watu kuishi maisha mema/matakatifu,kusamehe kutorudisha baya kwa baya na zaidi huamini shida huondolewa kwa maombi kama alivyokuwa akiishi mkombozi wao yesu kristo.kuna mmoja wa wanafunzi wake alichukua upanga kumkata mtu akamkataza na kusema vita yetu si ya damu na nyama.na mimi sijawai kusikia makundi ya kikristo yenye misimamo mikali na ndiyo maana mpaka sasa mambo ya OIC n.k wakristo wako kazini wanaomba siyo kwa maandamano.
Ni kweli wakristo wanyenyekevu na wana upendo, mfano Hitler, Mussolini, Sicilian Mafia and the like wote wameonyesha unyenyekevu mkubwa sana. Hata Henry VIII alionyesha unyenyekevu mkubwa kwa wake zake wawili kwa kuwakata vichwa.
My dearlest members of JF,
Somebody has told me that it is easy to mobilize muslims for a rally within a short period of time than doing the same to their counterpart christians. By the way, is this postulate true? If yes, what could be the reason(s)? I am thinking of one or two reasons but let me learn your views first and will come back latter.
nafkiri kwanza juu ya nature ya dini yenyewe yani mafundisho ya dini yenyewe mfano ukristo huelekeza watu kuishi maisha mema/matakatifu,kusamehe kutorudisha baya kwa baya na zaidi huamini shida huondolewa kwa maombi kama alivyokuwa akiishi mkombozi wao yesu kristo.kuna mmoja wa wanafunzi wake alichukua upanga kumkata mtu akamkataza na kusema vita yetu si ya damu na nyama.na mimi sijawai kusikia makundi ya kikristo yenye misimamo mikali na ndiyo maana mpaka sasa mambo ya OIC n.k wakristo wako kazini wanaomba siyo kwa maandamano.
Mmeacha kusoma kitabu chenu kinachotumiwa pia na majini badala yake mnasoma na Biblia Takatifu!!! Loo, wapuuzi kweli ninyi. Kwa nini msiendelee na dini yenu hiyo mnayo-share na majini? Ni bahati iliyo njema kuwa Shekhe Yahaya amefunua uhusiano uliopo kati ya imani hiyo na tunguli.
My dearlest members of JF,
Somebody has told me that it is easy to mobilize muslims for a rally within a short period of time than doing the same to their counterpart christians. By the way, is this postulate true? If yes, what could be the reason(s)? I am thinking of one or two reasons but let me learn your views first and will come back latter.
Mufti: Waislamu acheni kulalama, tafuteni elimu
Na Faida Muyomba, Geita
MUFTI wa Tanzania, Shekhe Mkuu Issa Shaban bin Simba amewataka waumini wa dini ya kiislamu nchini waache kubweteka na kutoa lawama kwa
serikali badala yake wajikite zaidi kwenye elimu ili kukomboa maisha yao.
Alisema hayo jana wakati akihutubia waumini wa dini hiyo mkoani Geita, ambako alikuwa mgeni rasmi kwenye harambee ya ujenzi wa mabweni ya wasichana na bwalo katika Shule ya Sekondari ya Islam.
"Huu ni muda mwafaka kwa waislamu kuanza kujikita na kukazania zaidi suala la elimu, na si kubaki kulialia pekee kuomba kuchaguliwa na kupewa vyeo serikalini, hivyo tuchangamke tusiendelee kubaki nyuma tupige hatua kama wenzetu," alisema Mufti.
Alisema waumini wa dini hiyo nchini wako nyuma kwenye suala la kuwaandaa watoto wao katika elimu, jambo alilosema kuwekeza katika ujenzi wa misikiti pekee hakusaidii, kwani iko hatari ya misikiti hiyo kubaki kama maghala ya kutunzia vyakula.
Alisema mwislamu yoyote anayetaka kuwa mfuasi wa kweli wa dini hiyo lazima ajikite katika elimu kwa sababu ndio mahali pazuri pa kuwekeza na si kwingineko.
Mufti pia alizungumzia namna ya kupata walimu wazuri, akisema huwezi kuwapata bila kulipa mishahara mizuri.
Katika harambee hiyo, jumla ya sh. milioni 17 zilipatikana ambapo Mufti Simba alichangia sh. milioni 5 na Mkuu wa Wilaya ya Geita, Bw. Fillemon Shelutete,ambaye aliiwakilisha serikali alichangia sh. milioni 1.5.
Awali, Kaimu Mkuu wa shule hiyo, Bw. Deusdedith Omchamba katika taarifa yake, alisema ujenzi huo ulibuniwa na waislamu wilayani humo mwaka 2007 baada ya kubaini kuwa wanafunzi wanaomaliza elimu ya msingi wengi wao wakiwa wa wasichana hukosa nafasi za kujiunga na masomo ya sekondari.
Alisema ujenzi wa mabweni mawili ya wasichana utagharimu sh.320,000,000 huku ule wa bwalo la chakula na jiko vitagharimu sh. 624,087,500.
Alisema shule hiyo ya mchanganyiko ambayo inatarajiwa kufunguliwa Februari 15, mwaka huu, hadi sasa imetumia sh 1,080,175,000 na kwamba hivi sasa wapo walimu watatu.
Tatizo c viongozi bali ni kundi la wakristo wanaojiona kuwa ni wasomi na kudhani kuwa wako peponi. Hata wanapopewa fursa ya kuitumikia nchi huishia kuifisadi tu na kudhani kuwa watakaoathirika ni waislam tu. Kumbe hata ndugu na jamaa zao ni wahanga wa ufisadi wao.Agree with u and thank u for this, this is not the time for debating Islams are this Christians are that. We need to be together, join forces na kuondoa uongozi uliopo madarakani kwani umeshindwa kazi kabisa