Why do you think it is easy to mobilize muslims for a rally than christians!!

Status
Not open for further replies.
Waislam ni wachapakazi wazuri. Ndio maana sehemu zenye waislam wengi huwezikuona mambo ya kijinga na kishirikina kama sehemu za kiristo. Mfano-wakristo ndo wanaochuna ngozi kule mbeya, wakristo wanaua vikongwe kule shinyanga, wakristo wanaua albino kule mwanza nk. Yote hayo uvivu na ufinyu wa akili.
 
Waislam ni wachapakazi wazuri. Ndio maana sehemu zenye waislam wengi huwezikuona mambo ya kijinga na kishirikina kama sehemu za kiristo. Mfano-wakristo ndo wanaochuna ngozi kule mbeya, wakristo wanaua vikongwe kule shinyanga, wakristo wanaua albino kule mwanza nk. Yote hayo uvivu na ufinyu wa akili.
 

Agree with u and thank u for this, this is not the time for debating Islams are this Christians are that. We need to be together, join forces na kuondoa uongozi uliopo madarakani kwani umeshindwa kazi kabisa
 
Tuache kuamsha hisia za udini katika ukweli, tuwape Waislam credits katika hili, uwezo wao wa kufanya organisation na mobilisation ni mkubwa, zaidi wana uwezo wa kuthubutu...


credit ip mkuu? lip la maendeleo wamefanya? kushirikiana kwenda makaburini? kushirikiana kumpigia kura fisadi JK? kushirikiana kujazana ujinga? kushirikiana kumchapa mwinyi makofi? kushirikiana kugombania jina la msikiti? kushikiana kugombania pilau na chai? ushirikiano upi,kujenga collegesau hospitals? kulalama kila siku? kujibu maasikofu kwa niaba makamba na jk na serikali ,nonsence
 
umesahau moja ni watabiri wa nyota,wanamiliki na kutengeneza vinyamkera,vibwengo,popobawa na majini.wanato ulinzi wa majini kwa amiri mkuu wa majeshi tz(mashekh) =shirik
 
umesahau moja ni watabiri wa nyota,wanamiliki na kutengeneza vinyamkera,vibwengo,popobawa na majini.wanato ulinzi wa majini kwa amiri mkuu wa majeshi tz(mashekh) =shirik

Du! Umeyajuaje yote hayo? Na wewe ni mshirika mwenzao??
 

elimu
 
Wakristo ni wanyenyekevu na wana upendo. Hawa wengine ni wakorofi, wachokozi na makatili.

Ni kweli wakristo wanyenyekevu na wana upendo, mfano Hitler, Mussolini, Sicilian Mafia and the like wote wameonyesha unyenyekevu mkubwa sana. Hata Henry VIII alionyesha unyenyekevu mkubwa kwa wake zake wawili kwa kuwakata vichwa.
 

Unajua unafiki ni kitu kigumu sana. Huu mtazamo wako unaonyesha wazi kuwa hukuwa na nia njema kuanzisha mjadala huu. Mbaya zaidi katika maoni yako mengi unajinasabisha kama mwanachama wa CHADEMA. Chama ambacho kinaendelea kuelemewa na tuhuma za kubebwa na UDINI. Hivi huoni kuwa kufanya hivi unajiharaibia zaidi kuliko kufaidika?

Ni wazi mitazamo kama yako ndiyo inayozidisha mitizamo hasi kwa upande wa waislamu dhidi ya wenzao wakristo lakini pia CHADEMA. Sijui unategemea kufaidikje na hali inayojengwa kutokana na mitizamo ya watu inayojengwa na ufinyu wa mawazo kama yako yanayotolewa hadharani kama ufanyavyo....

No wonder, wenye akili wanaamini kuwa CHADEMA imetekwa na mafashisti waliojivika vilemba vya Demokrasia na Ukombozi....
 

hivi kundi la IRA kule Ireland halikuwa kundi la Wakristo wenye siasa kali? na vipi kuhusu ETAhttp://wais.stanford.edu/Spain/spain_etaterrorists51903.html?
Au tumesahau kundi la Wakristo wenye siasa kali waliouwa maelfu ya watu huko Uganda? Fundementalist Christian terrorists masscare nearly 200 people

Hivi huu unafiki wa kuimba wimbo wa Waislamu wenye siasa kali huku tukiwaficha Wakristo wenye siasa kali utaisha lini?
 
Ni kweli wakristo wanyenyekevu na wana upendo, mfano Hitler, Mussolini, Sicilian Mafia and the like wote wameonyesha unyenyekevu mkubwa sana. Hata Henry VIII alionyesha unyenyekevu mkubwa kwa wake zake wawili kwa kuwakata vichwa.

hata wale Wakristo wenye siasa kali wa Kiserbia waliwauwa maelfu ya Waislamu Wa Kibosnia miaka ya 90 waliuwa kwa kutumia maombi kanisani!!!!
Ndivyo hivyo hivyo yule Padre aliewachoma moto waumini wake ndani ya kanisa huko Uganda alikuwa na upendo sana!!!

Hata mlokole Bush junior alipouwa mamilioni ya wa Iraki kwa sababu ya dini na mafuta yao alitumia maombi tu wala sio mabomu na risasi!!!!
 

Uislamu haukubali dhuluma! ndio maana Waislamu walitumia mali na fedha zao kuwatimua Wakoloni wakati wenzao Wakristo walikuwa wakiimba Kanisani na kuhubiri ya mungu mpe mungu na ya Kaisari mpe Kaysari! huku wakihubiri ukipigwa shavu la kulia basi geuza la kushoto uendelee kuzabwa vibao!!!!

Uislamu unafundisha kukataa kudhulumiwa ndio maana ni rahisi kuandamana kuliko wenzao Wakristo ambao kimsingi nao ni washirika wakubwa wa hao wenye kudhulumu!
 
huu uchafu bado upo hapa kwenye siasa.........Mods PLEASE hebu ondoa hii peleka kule kunakohusika
 

kweli kabisa vita vyetu sivya damu na nyama bali ni vya falme na mamlaka.Ubarikiwe!
 

Kutusi dini ya Kiislamu ktk JF ni ruksa lakini subutu ukristo utukanwe!!!!!!!!!!!!!
 


Mufti: Waislamu acheni kulalama, tafuteni elimu
Na Faida Muyomba, Geita

MUFTI wa Tanzania, Shekhe Mkuu Issa Shaban bin Simba amewataka waumini wa dini ya kiislamu nchini waache kubweteka na kutoa lawama kwa
serikali badala yake wajikite zaidi kwenye elimu ili kukomboa maisha yao.

Alisema hayo jana wakati akihutubia waumini wa dini hiyo mkoani Geita, ambako alikuwa mgeni rasmi kwenye harambee ya ujenzi wa mabweni ya wasichana na bwalo katika Shule ya Sekondari ya Islam.

"Huu ni muda mwafaka kwa waislamu kuanza kujikita na kukazania zaidi suala la elimu, na si kubaki kulialia pekee kuomba kuchaguliwa na kupewa vyeo serikalini, hivyo tuchangamke tusiendelee kubaki nyuma tupige hatua kama wenzetu," alisema Mufti.

Alisema waumini wa dini hiyo nchini wako nyuma kwenye suala la kuwaandaa watoto wao katika elimu, jambo alilosema kuwekeza katika ujenzi wa misikiti pekee hakusaidii, kwani iko hatari ya misikiti hiyo kubaki kama maghala ya kutunzia vyakula.

Alisema mwislamu yoyote anayetaka kuwa mfuasi wa kweli wa dini hiyo lazima ajikite katika elimu kwa sababu ndio mahali pazuri pa kuwekeza na si kwingineko.

Mufti pia alizungumzia namna ya kupata walimu wazuri, akisema huwezi kuwapata bila kulipa mishahara mizuri.

Katika harambee hiyo, jumla ya sh. milioni 17 zilipatikana ambapo Mufti Simba alichangia sh. milioni 5 na Mkuu wa Wilaya ya Geita, Bw. Fillemon Shelutete,ambaye aliiwakilisha serikali alichangia sh. milioni 1.5.

Awali, Kaimu Mkuu wa shule hiyo, Bw. Deusdedith Omchamba katika taarifa yake, alisema ujenzi huo ulibuniwa na waislamu wilayani humo mwaka 2007 baada ya kubaini kuwa wanafunzi wanaomaliza elimu ya msingi wengi wao wakiwa wa wasichana hukosa nafasi za kujiunga na masomo ya sekondari.

Alisema ujenzi wa mabweni mawili ya wasichana utagharimu sh.320,000,000 huku ule wa bwalo la chakula na jiko vitagharimu sh. 624,087,500.

Alisema shule hiyo ya mchanganyiko ambayo inatarajiwa kufunguliwa Februari 15, mwaka huu, hadi sasa imetumia sh 1,080,175,000 na kwamba hivi sasa wapo walimu watatu.
 
Mmh..nimesomaa we upupu kedekede .ni vizuri kujuana kwani we gosbert uko darasa la ngapi mwenzangu..maana point zako bana mmh..mara kashata sijui kahawa yani sielewi elewi .a lot of BS
 

Asante kwa kutuwekea statements za Mufti. Post yako imejibu masuala yote humu jamvini. Ukweli ni kuwa kiwango cha elimu kwa waislam kipo chini, ikilinganishwa na wenzao wakristo. Mtu anapokuwa na elimu duni ni rahisi kumwendesha kadri unavyopenda. Ni rahisi kumdanganya, kumtia utambi akakasirika kwa jambo lisilo na mantiki, n.k.

Hii inaweza kuelezea sasa kwa nini ni rahisi kuwakusanya waislam ndani ya muda mfupi kushiriki kwenye maandamano kuliko ilivyo kwa wakristo. Viongozi wao wakiwatia utambi kwa mambo siyo ya msingi, kwa malalamiko yasiyo na mbele wala nyuma, wao huondoka na kuingia mitaani na mabango badala ya kutafakari kwanza. Hata hivyo, wapo waislam walioelimika ambao tabia yao ni tofauti na wenzao.
 
Gosbert ,sorry but u r making me laugh at your lack of brain power..you just spread hate,lies and misinformation.
Am not hurling insult here folks am just trying to figure this guy out..I THINK HE IS FULL OF CRAP.
Just ma opinion guys nothing personal.
 
Agree with u and thank u for this, this is not the time for debating Islams are this Christians are that. We need to be together, join forces na kuondoa uongozi uliopo madarakani kwani umeshindwa kazi kabisa
Tatizo c viongozi bali ni kundi la wakristo wanaojiona kuwa ni wasomi na kudhani kuwa wako peponi. Hata wanapopewa fursa ya kuitumikia nchi huishia kuifisadi tu na kudhani kuwa watakaoathirika ni waislam tu. Kumbe hata ndugu na jamaa zao ni wahanga wa ufisadi wao.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…