Utanipenda tu
Senior Member
- Jul 17, 2026
- 119
- 254
Mkuu sijaelewa vizur kama huyo ni mke rasmi au laa, lakini inasemwa ukiona wake wenza wanapendana basi fahamu kuna mambo wanashirikiana vizur tu na wanaenda sawaCheating is part of life. Mimi siwezipenda mtu nisipite nae ila kama sijakupenda hata uwe mzuri kiasi gani wewe ni mamangu au dadangu tu. Nilisha cheat na dem mmoja wife akajua na akafanya juu chini wakajuana. Nakumbuka hii kauli "pale mme wangu umetisha ni kifaa kweli kweli ila chunga asituletee maugonjwa" nikajua hapa kumekuchaa hadi wa leo ni marafiki na wake wenza hadi siwaelewi coz sio kwa kuelewana kule. Hata watoto huwezi jua huyu ni wa mke mkubwa au wa mdogo wote tabia moja. Utamuita jack jeff atakuja ukimwita brayo ben atakuja kuwakilisha. Cheating sio mbaya kwangu coz naona manufaa yake.
jiulize mbona mtiwa mafutamfalme sulema alikuwa na wake na michepuko kibao? na huyu alikuwa hand picked by God. so mwanaume tamaa ya kuonja mbunye tofauti tofauti and mind u zinatofautiana ladha ipo pale paleUkiwa na dem mmoja kuna tatizo gani
Huo umalayer we mzee
soma coments zangu zote humu utaelewa. Kufichiana siri lazma wafichiane ila kwangu mim cjawahi kuwaza kama kuna jingne nyuma ya pazia. Mfano mda mwingi wapo wanajishughulisha na viduka vyao hadi mda wakutoka kama ni mzgo nawaletea mwenyewe kila nkitoka kazini hata wakichepuka bado itabaki vile vile sio sabuni ati itaisha.Mkuu sijaelewa vizur kama huyo ni mke rasmi au laa, lakini inasemwa ukiona wake wenza wanapendana basi fahamu kuna mambo wanashirikiana vizur tu na wanaenda sawa
Sikutishi lakini wanaweza hata kufichiana siri za kuchepuka
Kwahiyo wakiwa na Ushirikiano mzuri sio vizur tena ?Mkuu sijaelewa vizur kama huyo ni mke rasmi au laa, lakini inasemwa ukiona wake wenza wanapendana basi fahamu kuna mambo wanashirikiana vizur tu na wanaenda sawa
Heh sidhani aiseeSikutishi lakini wanaweza hata kufichiana siri za kuchepuka
Hii ya ladha hivi ni kweli?jiulize mbona mtiwa mafutamfalme sulema alikuwa na wake na michepuko kibao? na huyu alikuwa hand picked by God. so mwanaume tamaa ya kuonja mbunye tofauti tofauti and mind u zinatofautiana ladha ipo pale pale
hata hivyo hawezi kupewa😄Gudubaiii 🤣🤣🤣🤣
Basi asipewe kama hivyo
Safii sio subuni ile kusema itaisha🔥soma coments zangu zote humu utaelewa. Kufichiana siri lazma wafichiane ila kwangu mim cjawahi kuwaza kama kuna jingne nyuma ya pazia. Mfano mda mwingi wapo wanajishughulisha na viduka vyao hadi mda wakutoka kama ni mzgo nawaletea mwenyewe kila nkitoka kazini hata wakichepuka bado itabaki vile vile sio sabuni ati itaisha.
Uchoyooooohata hivyo hawezi kupewa😄
bora uchoyo kuliko kuchafuliwa😅Uchoyooooo
Mimi sio mwanaume ila hili neno kuchafuliwa limeniuma sana nimeliaaa😭😭bora uchoyo kuliko kuchafuliwa😅
wew ndo umesababisha nianze kutoa maneno mabaya dadeq😅Mimi sio mwanaume ila hili neno kuchafuliwa limeniuma sana nimeliaaa😭😭
Uzoefu unaonyesha hivyo,kikawaida wake wenza hawawezi kuiva moja kwa moja ,ingawa usoni wanaweza kupretend hivyo lakini wivu huwa upo tu,sasa ukiona kuna mapenzi kindaki kindaki mmh inatia mashakaKwahiyo wakiwa na Ushirikiano mzuri sio vizur tena ?
Heh sidhani aisee
Basi mtoto mzuri🥰wew ndo umesababisha nianze kutoa maneno mabaya dadeq😅
kama vile ladha ya kibamia na liboloz ilivyo tofauti basi ladha ya mbususu na mbunye utofautianaHii ya ladha hivi ni kweli?
Mhm huenda sifahamu kuhusu hili ila kuna ukweli hapa ku share dudu sio jambo jepesiUzoefu unaonyesha hivyo,kikawaida wake wenza hawawezi kuiva moja kwa moja ,ingawa usoni wanaweza kupretend hivyo lakini wivu huwa upo tu,sasa ukiona kuna mapenzi kindaki kindaki mmh inatia mashaka
Na yeye si ange m hide bi mkubwaJuzi kati mfanyakazi wetu mmja kamrusha bimdogo status what's app huo ugomvi wake sio poa
Sukufahamu kuhusu hili aisee🙄kama vile ladha ya kibamia na liboloz ilivyo tofauti basi ladha ya mbususu na mbunye utofautiana
Safii sio subuni ile kusema itaisha
love you too❤Basi mtoto mzuri🥰
Nisamehe darling love uu😘
Unaniwekea kopa jeusi mi mchawi🥹love you too❤
kwangu ni jeupe Walah😄😄😄😄Unaniwekea kopa jeusi mi mchawi🥹
Haupo romantic kabisa