Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,945
- 4,499
eti uliacha hadi koti lako kule LOL!!!!!!!!
Fide haikinitoshi kipapatio nataka paja mieeeeeee......maana yake nini
na soda ya kopo je???
Yeah nilisahau Koti la suti alafu niliazima nilirudi kubeba nikanogewa jumla.
Kipapatio ni kidogo kuliko paja, Paja zuri sana ukilishikilia lina nyama nyingi na misuli kuliko kipapatio.