Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
wadau hivi kwa nini members wengi wa ccm wanamuogopa huyu kijana kwani
1.sikusikia hata siku moja wakipinga matokeo ya ubunge
2.wakimsema kwenye mkutano yao ya kampeni
3.akisimama bungeni viongozi wengi huwa wanaanza kutetemeka
hivi naombeni mnipe siri ni nini.....ya kumuogopa huyu kijana yaani hata anawanyima usingizi
1.sikusikia hata siku moja wakipinga matokeo ya ubunge
2.wakimsema kwenye mkutano yao ya kampeni
3.akisimama bungeni viongozi wengi huwa wanaanza kutetemeka
hivi naombeni mnipe siri ni nini.....ya kumuogopa huyu kijana yaani hata anawanyima usingizi