Why do bank charges high interest for workers loan?

Why do bank charges high interest for workers loan?

Je mtu akikopa hela nyingi halafu akafukuzwa kazi au akafa?
Bwashee inategemea na aina ya loan uliyochukua na Aggreement yako na Bank for personal loan,

Mfano kama ni mkopo wa Gari basi gari itapigwa mnada,

Kwa aina za loan zingine kama una life insurance basi insurance watalipa,kama huna basi guarantor wako ndio atalipa,

Sheria hizi hutofautiana baina ya nchi na nchi na makubaliano yako na Bank,

Wataalamu wataongezea zaidi.
 
Bwashee inategemea na aina ya loan uliyochukua na Aggreement yako na Bank for personal loan,

Mfano kama ni mkopo wa Gari basi gari itapigwa mnada,

Kwa aina za loan zingine kama una life insurance basi insurance watalipa,kama huna basi guarantor wako ndio atalipa,

Sheria hizi hutofautiana baina ya nchi na nchi na makubaliano yako na Bank,

Wataalamu wataongezea zaidi.
Nlimekuelewa mkuu
 
Watu wanaiba sana ndio maana Bank kila kukicha wanatangaza faida kubwa sana kwa sababu ya kuwadhurum watu na BOT wapo kimya tu bila hata kuona taasisi inayozisimamia zinaibiwa wananchi hiyo ina tofauti na Deci sasa kama mtu anakopa 13m analipa 28m si zaidi ya kausha damu kabisa hii aisee..
 
Watu wanaiba sana ndio maana Bank kila kukicha wanatangaza faida kubwa sana kwa sababu ya kuwadhurum watu na BOT wapo kimya tu bila hata kuona taasisi inayozisimamia zinaibiwa wananchi hiyo ina tofauti na Deci sasa kama mtu anakopa 13m analipa 28m si zaidi ya kausha damu kabisa hii aisee..
Ni kausha damu mkuu iliyojiwekea mifumo yake ya upigaji katika namna iliyojificha sana.
 
Ni kausha damu mkuu iliyojiwekea mifumo yake ya upigaji katika namna iliyojificha sana.
Ndio maana kufanikiwa kwa kukopa Bank kwa wanaoanza biashara Tanzania ni ngumu sana sana na hizi Saccos zimesaidia maana mnajiwekea riba yenu ambayo haiumizi sio hao jamaa aisee ni hatari mno mno wengine wanatumia flat rate au utasikia reducing balance method ya kulipa mkopo ni hatari sana..
 
Ndio maana kufanikiwa kwa kukopa Bank kwa wanaoanza biashara Tanzania ni ngumu sana sana na hizi Saccos zimesaidia maana mnajiwekea riba yenu ambayo haiumizi sio hao jamaa aisee ni hatari mno mno wengine wanatumia flat rate au utasikia reducing balance method ya kulipa mkopo ni hatari sana..
Na itaendelea Kukua zaidi Kwa sababu hata Politicians wanaficha pesa zao huko Ivo wanalinda interest za Bank sana
 
Back
Top Bottom