Why DNA tests are BANNED in Israel?

Jew ni mtu, unaweza kuwa Jew Ila huwezi kuwa Israelite,unaweza kuwa Muslim Ila huwezi kuwa mwarabu,unashindwa kuelewa nini!?
 
"Jew | History, Beliefs, & Facts | Britannica" Jew | History, Beliefs, & Facts
 
Ukiruhusu DNA Israel huytapata myahudi halisi
  1. walioenda misri walioa waarabu
  2. walirodui misri walichangamana na wafilisi (waamuzi 2:3)
  3. waliopo sasa HAWAJITAMBUI
 
waarabu au wayaudi ? waarab ndo kansa ya dunia ,sio Sudani , wala Afrika kaskazini wala afrika magharibi sio mashariki ya kati wala ulaya , waarabu wameleta fujo sana , na Dubai ndo kitovu uuzwaji wa mali zinazoibiwa Afrika
Huu uongo na upoyoyo umeutoa wapi?
-World war 1 & 2 alileta mwarabu?
-Slave trade alileta mwarabu?
-Colonialism alileta mwarabu?
-Regime change alileta mwarabu?
-Blood minerals DRC na West Africa alileta mwarabu?
-Middle east conflicts kuvamiwa kwa Saddam Hussein,Damascus crisis 1958,Syria revolution since 2011,Yemeni invasion Kaleta mwarabu?

Hii dunia kama sio WAZUNGU NA WAMAREKANI ingekua sehemu salama sana.
-Sudan vita zao za kikabila usiwahusishe waarabu.Sudan kusini hadi sasa wanauana je kuna mwarabu Sudan kusini!?
-Africa magharibi ndio Francofone nations,mataifa ambayo makoloni ya zamani ya France,hayana amani na France anahisiwa kuhusika maana hata MADASGAR alihusika France kumpindua Ravalomanana kwa kumsaidia Andy Rajoelina.
-Tunafahamu namna wazungu wanavyo exploit mataifa mengine kwa neocolonialism.
-Central Africana republic mauaji ya Anti balaka,kuna waarabu pale??
-Rwanda genocide France wanahisiwa kuhusika.
-Duniani genocide nyingi zinaaminika kutekelezwa na Germany,je Germany mwarabu!?
-Kulazimisha watu mikataba ya ushoga na usagaji kwa fimbo ya misaada na ruzuku je Kaleta mwarabu!?


Unatuchukulia sisi mafala au sio!?
Punguani Waheed wewe.
 
Ukiruhusu DNA Israel huytapata myahudi halisi
  1. walioenda misri walioa waarabu
  2. walirodui misri walichangamana na wafilisi (waamuzi 2:3)
  3. waliopo sasa HAWAJITAMBUI
Hawajitambui kivipi
 
Ukiruhusu DNA Israel huytapata myahudi halisi
  1. walioenda misri walioa waarabu
  2. walirodui misri walichangamana na wafilisi (waamuzi 2:3)
  3. waliopo sasa HAWAJITAMBUI
utawapata, ila wapo ambao hawatakua 90% wengi wataishia kwenye 50% kwasababu walichanganya sana na mataifa mengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…