Why did I get Married?


CArmel,

Ni kweli kabisa... lakini hiyo in faida kuliko hasara!!! ukingalia hata kwenye ile movie kuna jamaa mkewe anamgundua akianza tu uongo!!! kwahiyo hata kama nina "vidili" vyangu inabidi niwe very smart au kuacha kabisa... lakini this goes both ways, its easy kujua kama ananiingiza mjini au la!!
 
Where dou get such kind of stuff men!
Nambieni ili kama ni zile za kuangalia kwenye tv nitemane nayo!
MJ1, hope yuo will help me here!

PJ kwani huko nyumbani hawauzi muviz jamani??? sio yale ma-soap ya kwenye tv...
 
Huoni kwamba ulimpata baada tu ya kuwa ametoswa na huyo jamaa? Unadhani alikuwa na upendo wakweli na wewe, na kama ndivyo, kwanini akupende baada ya kukosa option?

-Huoni kwamba PIA ulimwoa kama hisani ya yeye kukutafutia kazi?

By the way we differ so much in the reason which got us into marrying the people we live with, SO MTU USIJISKIE OFFENDED for any reason whatsoever!

 
Huoni kwamba ulimpata baada tu ya kuwa ametoswa na huyo jamaa? Unadhani alikuwa na upendo wakweli na wewe, na kama ndivyo, kwanini akupende baada ya kukosa option?
Hili ni kweli kabisa kwani jamaa angeamua kubeba basi ningeendelea na maisha mengine bila huyu kova wangu!! Always we utilise available resources and not something we cant have

-Huoni kwamba PIA ulimwoa kama hisani ya yeye kukutafutia kazi?
Hii haikuwa sababu kwani we continued to be friends for three years without marrying each other, na wala hapakuwa hata na mimba ya kusingizia etc.

i saw the opportunity and i conquered it!! and no regrets

By the way we differ so much in the reason which got us into marrying the people we live with, SO MTU USIJISKIE OFFENDED for any reason whatsoever!

Wala usitie shaka its only through forums kama hizi ndio tunaweza kusaidia wadogo zetu wa-make right choices!!

Just one thing you have to take from me, kama mwanamke anakubali kuolewa na wewe kwasababu ulimsaidia ujue kwamba wewe ni mlinzi bora, the same kwa wanaume... lazima uoe mtu mwenye manufaa kwako na kwa familia yako/yenu

Mimi nilikuwa poacher, nina imani labda wengi tu tulipoach

TUNAOA KU-FULLFIL DUTIES AND RESPONSIBILITIES NA SIKU ZOTE USIOE JUST FOR THE SAKE
 
may be tungeanza na swali.......!
WHY LOVE?

WHY DO I LOVE MY WIFE?
..........maanake out of love unaweza bahatika kufikiria ndoa!..........
 

very clever man!!! kama ni b'ness man u r saksesful....kama ni kizuri kwa nini usikipoarch
 
may be tungeanza na swali.......!
WHY LOVE?

WHY DO I LOVE MY WIFE?
..........maanake out of love unaweza bahatika kufikiria ndoa!..........

Sasa. ili inoge , ilete kama thread Mkuu!
Maana hapo napo kuna visa vingi sana vya kishenzi tumeviona!

There are a million reasons why one will love a wife!
 
may be tungeanza na swali.......!
WHY LOVE?

WHY DO I LOVE MY WIFE?
..........maanake out of love unaweza bahatika kufikiria ndoa!..........

Why Do I Hate My Wife! sina cha kuchangia!
 
very clever man!!! kama ni b'ness man u r saksesful....kama ni kizuri kwa nini usikipoarch

Thanks Bht, ila ukumbuke kwamba humo kwenye hiyo party kuna yafuatayo
mikasi ya kwenda mbeleπŸ˜€
surprises mara chaaaache sanaπŸ˜•
kawivu ka kufa mtuπŸ˜›
Mipango ya pamoja
vibifu vidogovidogo ambavyo humalizwa na mikasi baada ya pombe kali!!πŸ™πŸ˜€
 
may be tungeanza na swali.......!
WHY LOVE?

WHY DO I LOVE MY WIFE?
..........maanake out of love unaweza bahatika kufikiria ndoa!..........

Hii imetulia
 

hahaaaa sasa hapa MTM umenogesha zaidi
 
Personnally,I DON'T KNO WHY I LOVE MY WIFE!na kwakweli sijui ni kwanini I AM GETTING MARRIED CHURCH SO SOON!...............

anaeweza kujua ni kwanin anapenda naomba anipe exiperience
 
Nimeupenda sana huu mjadala. Its more than a lesson. Good evening everybody here
 
Personnally,I DON'T KNO WHY I LOVE MY WIFE!na kwakweli sijui ni kwanini I AM GETTING MARRIED CHURCH SO SOON!...............
SOMETIMES IN FEBRUARY!

certainly 13th-feb-2010

Mpwa hii ni kuonyesha msisitizo
Karibu Chako ni Chako niko na wapwa na mabinamu wa hapa
 
karibu utupe maexpiriensi hapo....gudeve Sipo
Sina hata experience ya kutosha bht, kidogo niliyo nayo tutashare wakati wa get together yetu. Hope you will be there bila kukosa?
 
Sina hata experience ya kutosha bht, kidogo niliyo nayo tutashare wakati wa get together yetu. Hope you will be there bila kukosa?

ngoja niku-PM
 
SOMETIMES IN FEBRUARY!

certainly 13th-feb-2010

Mpwa hii ni kuonyesha msisitizo
Karibu Chako ni Chako niko na wapwa na mabinamu wa hapa
HA HA HA ha ah!
hapo chako kuna kuku-choma nzuri sana!...........niaje mazee?
 
HA HA HA ha ah!
hapo chako kuna kuku-choma nzuri sana!...........niaje mazee?
Ndio naisubiria hiyo nyama hapa kwa hamu sana
Halafu raha nyingine zilizoko hapa inabidi nikuPM. Nisije kushikiwa kidedea na wenye mada "Why did i get Married?" Halafu Fidel80 yuko wapi leo? Au kajisahahu kwa Eliza toka jana? Sorry
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…