MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,586
- Thread starter
-
- #41
Mimi kilichonipelekea kufanya maamuzi haya mazito ni kuwa mr alikuwa mtu wangu wa karibu sana, he was my best friend way before we fell into love game. when we were friends He was always there for me, and i was there for him, we shared a lot of fun and secrets, he was my main advisor in every aspect (if u n wora i mean), i was his closest person, and we eventually discover there is no way we can stay apart in this life, and so , well we decided to say i do!
Mimi kilichonipelekea kufanya maamuzi haya mazito ni kuwa mr alikuwa mtu wangu wa karibu sana, he was my best friend way before we fell into love game. when we were friends He was always there for me, and i was there for him, we shared a lot of fun and secrets, he was my main advisor in every aspect (if u n wora i mean), i was his closest person, and we eventually discover there is no way we can stay apart in this life, and so , well we decided to say i do!
Meaning uliolewa ili ukapike au nimeisoma ndivyo sivyo hii post FL1?tutaonana kesho ngoja nikapike why did i get married
mhhh Carmel hiki ki blurey kikali.enhee hebu tuambie ,wakati mko close friend kulikuwa hakuna ma feelings yoyote kweli ya malavidavi? how long did you stay as normal friends?
Tuweke wazi hapa kidogo,suala la dini ni pana sana.Unaongelea madhehebu mfano mkatoliki na mlutheri au mkristo na muislamu? sioni taizo kama mimi ni mTAG nikiolewa na mkatoliki.Kingine nilichokisahau kukizingatia enzi ile ni tofauti zetu za kiimani kwani niliamini love conquers all. Inawezekana wka wengine ikawork but mara nyingi after ndoa huwa inatokea mifarakano related to tofauti za kiimani. Niliamini there is nothing wrong kuoana na mtu wa imani tofauti nawe as long as mmependana- sasa ikihapen love kuchuja (kama inachujaga) utajuta! na pia inawezatumika kama kigezo cha either kuwatenganisha au kumfanya mmoja wenu abadili imani yake amfuate mwenzie hata kama mwanzoni makubaliano hayakuwa haya.
Uoga tu,unajua leo nitajua mengi na uchumba utayumba?He! Hii thread leo itazua mengi. Ngoja niwahi zero pub. C ya 2moro guys. Naona kama bia zinaisha! LOL!
ha ha ha huyo ni mpwa wangu!! asee 40 alafu baadae watoto waanze kukuita babu??usimuogope Xpin,Hata hivo mie ni mcha Mungu.Mie nataka kujua tu kwa nini umri ukufanye ukimbilie ndoa.Nishasikia kuwa mwanaume hata akifika miaka 40 hajaoa hana shida,ila tatizo mwanamke.akifika 30 hakieleweki ataweza kuolewa na yeyote yule ataejitokeza mradi apate ndoa.Unaelimisha wengi usiogope.
Tuweke wazi hapa kidogo,suala la dini ni pana sana.Unaongelea madhehebu mfano mkatoliki na mlutheri au mkristo na muislamu? sioni taizo kama mimi ni mTAG nikiolewa na mkatoliki.
hahahahaa,ndio hivo hivo na mimi nimeelewa MJ1.kaolewa ili awe anampikia MR.Meaning uliolewa ili ukapike au nimeisoma ndivyo sivyo hii post FL1?
He! Hii thread leo itazua mengi. Ngoja niwahi zero pub. C ya 2moro guys. Naona kama bia zinaisha! LOL!
Hongera sana shem,so experience ya kwako naona ilikuwa By nature! Endelea kuwa mbunifu pia lakiniShahidi yangu ni Carmel
hata kusoma nikawa siwezi.
Mungu akajalia tukamaliza shule,nikamtambulisha
home na leo na simama hapa proudly na kusema
nashukuru Mungu kwa mke ulenipa,Kila siku
ni raha, nikitoka kazini namwimbia kidogo tunacheza,
tunataniana na mambo ya kazini tunayaacha mlangoni.
I love u so much my dear wife hope ur reading this.
Uoga tu,unajua leo nitajua mengi na uchumba utayumba?
Nilikuwa library udsm
kwa mbali akaje demu
ambaye sikumfahamu,
Nikapatwa na hamu,
Nikamuuliza waitwa nani?
akatabasamu akaniuliza kwanini?
Ndio kwanza natia timu mjini,
Tokea Moshi na tena sio mjini,
Kitabu ....kinapatika wapi?
kwa upole akasema cha mkwapi?
Nikasema haswaa,
basi tukaendela kukutana,
hata kwenye midahalo na kutaniana,
taratiibu tukaakanza kupendana,
mapenzi yakazidi na yakazidi na yakazidiana,
Shahidi yangu ni Carmel
hata kusoma nikawa siwezi.
Mungu akajalia tukamaliza shule,nikamtambulisha
home na leo na simama hapa proudly na kusema
nashukuru Mungu kwa mke ulenipa,Kila siku
ni raha, nikitoka kazini namwimbia kidogo tunacheza,
tunataniana na mambo ya kazini tunayaacha mlangoni.
I love u so much my dear wife hope ur reading this.
ha ha ha huyo ni mpwa wangu!! asee 40 alafu baadae watoto waanze kukuita babu??
Nilikuwa library udsm
kwa mbali akaje demu
ambaye sikumfahamu,
Nikapatwa na hamu,
Nikamuuliza waitwa nani?
akatabasamu akaniuliza kwanini?
Ndio kwanza natia timu mjini,
Tokea Moshi na tena sio mjini,
Kitabu ....kinapatika wapi?
kwa upole akasema cha mkwapi?
Nikasema haswaa,
basi tukaendela kukutana,
hata kwenye midahalo na kutaniana,
taratiibu tukaakanza kupendana,
mapenzi yakazidi na yakazidi na yakazidiana,
Shahidi yangu ni Carmel
hata kusoma nikawa siwezi.
Mungu akajalia tukamaliza shule,nikamtambulisha
home na leo na simama hapa proudly na kusema
nashukuru Mungu kwa mke ulenipa,Kila siku
ni raha, nikitoka kazini namwimbia kidogo tunacheza,
tunataniana na mambo ya kazini tunayaacha mlangoni.
I love u so much my dear wife hope ur reading this.
I saw that coming!!! anakimbia Iribini
tutaonana kesho ngoja nikapike why did i get married