assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,909
- 4,057
A POLITICAL PARTY WITHOUT VISION AND MISSION IS A FAILED POLITICAL PARTY.
CHAMA KIMEKOSA
1. Kuwa taasisi imara it still depend personalities
2. Kmeshindwa kujibainisha kinasimamia sera gani
3. Asilimia 70 ya wananchi vijijini hawakifaham ni chama cha namna gani
4. Kimeshindwa kukuza demokrasia ndani kwa kutoruhusu wakosoaji
5. Kufa kwa ubunifu wa viongozi labda suala la elimu linaweza kuingia.
6. Kukosa sera madhubuti na kuishi kwa matukio na scandals. ina maana kusipokuwa na tukio then kueneza chama itakua kazi ngumu
KUNA VYAMA VYA KILAGHAI SANA HP TZ.
CHAMA KIMEKOSA
1. Kuwa taasisi imara it still depend personalities
2. Kmeshindwa kujibainisha kinasimamia sera gani
3. Asilimia 70 ya wananchi vijijini hawakifaham ni chama cha namna gani
4. Kimeshindwa kukuza demokrasia ndani kwa kutoruhusu wakosoaji
5. Kufa kwa ubunifu wa viongozi labda suala la elimu linaweza kuingia.
6. Kukosa sera madhubuti na kuishi kwa matukio na scandals. ina maana kusipokuwa na tukio then kueneza chama itakua kazi ngumu
KUNA VYAMA VYA KILAGHAI SANA HP TZ.