Why can't this guy coexist peacefully with others

Well said
Ila watajifanya wanapinga
Aisee hawa watu ni tatizo
 
Na hao waislam wengine wahamiaji, wazawa walioko nchi za ulaya na USA wanaoandamana, kuharibu mali na wengine kujitoa muhanga kuua wasio na hatia unawazungumziaje?
 

Wote hao ni shida. Nchi yetu na serikali lazima isimamie sheria za mazingira. Kelele ina madhara makubwa sana kwa afya ya jamii
 
Hivi wapinzani wanavyotekwa na kuuwawa hivyo matamko ya chuki dhidi ya wapinzani yasilete matabaka ila hili la kuongea tena kwa kuhoji ilete kero! My brother in Islam tusijitie unyonge yapo mengi ya kukemea na tunaogopa kwakuwa yanafanywa na wenzetu au twanufaika nayo hatukemei, ndo Islam ilivyo?
 
mwenzio anazungumzia ni namna gn waislam hamuwez ishi na watu wa imani tofauti na yenu ni tatzo kubwa pia hata nyie kwa nyie hamuwezan we unaleta porojo za migogoro isiyohusiana na dini hivi
 
Kinacho wafanya kutuita wantanzania wenzenu makafiri ni nini?
 
Na hao waislam wengine wahamiaji, wazawa walioko nchi za ulaya na USA wanaoandamana, kuharibu mali na wengine kujitoa muhanga kuua wasio na hatia unawazungumziaje?
Hawo wanaoandamana kwenye nchi ya watu wanastahili Kunyongwa mpaka kufa
 
mwenzio anazungumzia ni namna gn waislam hamuwez ishi na watu wa imani tofauti na yenu ni tatzo kubwa pia hata nyie kwa nyie hamuwezan we unaleta porojo za migogoro isiyohusiana na dini
Namimi najiuliza hao ambao hawaishi Kwa Amani ni waislamu au??

Kwa hiyo Russia Wana Amani?? Congo Wana Amani??
 
Mimi sijui ndugu yangu. Wewe Kama humjui maana yake kwann unajisikia vibaya?

Lakini siyo poa kutuita wenzenu makafiri. Mii sijui maana yake, ila inaonekana siyo jina zuri au lenye sifa nzuri
 
#UPDATES Chad imelaani kauli ya kitisho ya jenerali mkuu wa Sudan kuwa itashambulia viwanja vyake vya ndege, na kuliita ni "tangazo la vita."

Wizara ya mambo ya nje ya Sudan imesema itajibu kulingana na sheria za kimataifa ikiwa "mita ya mraba ya eneo la Chad itatishiwa.”

Onyo hilo linafuatia kauli ya Lt-Jenerali Yasir al-Atta, naibu kamanda wa jeshi la Sudan, ambaye alisema UAE inatumia viwanja vya ndege vya Chad kupeleka silaha kwa Wanamgambo wa Rapid Support Forces (RSF).

Jeshi la Sudan linaishutumu UAE kwa kuwaunga mkono RSF, katika muda wote wa vita vya wenyewe kwa wenyewe vilivyodumu kwa miaka miwili, ambavyo vimesababisha mzozo mbaya zaidi wa kibinadamu duniani.

Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wamesema, shutuma dhidi ya UAE za kusafirisha silaha na kuwapa RSF kupitia Chad ni "za kuaminika," lakini UAE imekanusha hilo.

Kauli ya Luteni Jenerali Atta imekuja baada ya Sudan kuipeleka UAE kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) kwa madai ya kuunga mkono RSF. #EastAfricaTV

Wale waleeeee,,,,UAE WAISLAM,,,CHAD WAISLAMU,,,SUDAN WAISLAMU,,,😭😭😭😭
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…