Why can't this guy coexist peacefully with others


Pengine wengi wangependa kuwa waislam, lakini kwa nini wanashurutishwa wajifunze au ku assimilate mila, desturi na tamaduni za kiarabu?
 
They are very selfish. Angalia walivyoshinikiza watoto wa kike kuvaa hijabu mashuleni wakati nchi sio ya kidini, All time wanajiona ndo wako sahihi kuliko watu wa dini nyingine
Kwani binti akivaa hijabu shida iko wapi? Ama nini kinapungua au kuongezeka katika maisha yako?
Sasa hapo selfish inaingiaje?
Mungu akujaalie uwe na fikra pana katika kudadavua mambo kabla ya kuchkua hatua.
Aamiin.
 
Kwani binti akivaa hijabu shida iko wapi? Ama nini kinapungua au kuongezeka katika maisha yako?
Sasa hapo selfish inaingiaje?
Mungu akujaalie uwe na fikra pana katika kudadavua mambo kabla ya kuchkua hatua.
Aamiin.
Mi nina fikra sana wala sipungukiwi chochote, this is a secular state, Hivi kila dini ikitaka au kulazimisha utambulisho wake wa kidini katika taasisi za umma hatima yake ni nini?
 
Nchi za Ulaya zilifanya makosa mikubwa kuwakaribisha waislamu ambao nchini mwao kulikokuwa na vita wakadhani wanawasaidia kumbe hali Ile walikuwa wanaipenda Ile hali ndio maana Sasa hivi Ulaya sio tena nchi salama za kwenda
 
Mi nina fikra sana wala sipungukiwi chochote, this is a secular state, Hivi kila dini ikitaka au kulazimisha utambulisho wake wa kidini katika taasisi za umma hatima yake ni nini?
Kuna dini iliyotaka utambulisho wake hapa nchini usiyo ingilia shughuli za watu ikakataliwa?
Anyhow, hasidi hana sababu.
Uwe na siku njema.
 
Mfano India Wanaouliwa ni Waisilamu na sio Vice versa, Maynamar (Burma) wanaouliwa ni waisilamu Takriban waisilamu 40,000 wameuliwa Rohingya, Ukija Gaza wanaouliwa ni Waisilamu, hapo Middle East Isis na Al Qaeda kwa zaidi ya asilimia 90 wanaouliwa ni Waisilamu, Same kwa North Africa waisilamu wanauliwa kuliko dini Zote, Afganistan, Iraq etc wote ni waisilamu wanaouliwa.

Na kote huko Waisilamu ni native, wao walikua hapo miaka na miaka anakuja mgeni na kuwaua, kudistabilize ardhi zao na kufanya kusitawalike, je Ni waisilamu ama ni huyo mgeni ndio mwenye makosa?
 
Wana flawed logic moja ambayo inawafanya watengeneze mazingira magumu kwao wenyewe

Attempt ya kutaka kuwabadili , taratibu za watu wengine ili wafuate zao kila wanapoenda ndipo ugomvi unapo anzia
 
As long as USAID ina sponsor na create extremists..... The problem is USA
 
Death to America x3
Death to infidels x3

Taqbiiiiiiiiiir
 
Wapi umeona VITA mkuu? Iran kuna vita? Pakistan je? Mleta uzi kazungumzia habari za happiness, happiness haina uhusiano wowote na vita au amani kaka, kasome tena. Hapa Tanzania husikii waislamu wakilalamika? Wanamlaumu hadi Nyerere aliyeondoka madarakani miaka 40 iliopita, juzi master J katoa maoni yake kuhusi wana music wa Tanzania, jamaa 1 muislam kalalamika eti master J ana chuki na Waislamu. So guys mnalalamika everywhere in the world, hili sio siri. Zanzibar pia wana lalamika, Mombasa as well, kote huko majority ni wao
 
DIni ni janga la dunia.
 
Ukweli lazima usemwe,nyie Muslims ni zaidi ya matatizo,kila siku huwa nawauliza rafiki zangu ambao ni waislam kwani huko kwenye miskiti yenu huwa mnaambiqaje kuhusu watu wa imani zingine.

Muslims lazima mfike mahali mjitambue,mistake kulazimisha kila mtu awe wa imani yako.Hata ma Ofisini mnatuletea shida mnabagua ambao sio Muslims
 
Mwandishi ametoa mifano ya dini against dini na sio nchi against nchi
 
Hoja yako inashangaza sana, statistically wanaoongoza kwa kupiga hizo unazoita kelele ni Christians. Mimi nipo ubungo, mtaani kwetu kuna kanisa hapa weekend nzima kuanzia asubuhi mpka usiku ni kukesha na kuimba nyimbo za kuabudu na wanafungulia maspika unasema msikitini kitu ambacho hata saa mbili hakifiki kwa siku nzima?, ukipita njiani unakutana na watu na maspika yao wanahubiri injili tena sehemu zenye michanganyiko ya watu. Kikubwa tunajifunza kuishi kwa pamoja, hii nchi ni ya watanzania na tumeamua kuvumiliana.
 
Umekaa kiushabiki zaidi kuliko kutoa hoja!
Anyway, I am out.
Huwa sishiriki mijadala kama hii mimi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…