Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 18,719
- 29,239
Hizo ni very weak points kwakweli. kuna zaidi ya hapo
Membe wanamtaka ili arudishe ufisadi Tanzania.
Lissu na Malim Seif wanawataka ili kuja kuvunja muungano na umoja wetu. Tanzania iwe Tanganyika dependent state na Zanzibar irejeshwe tena kwa Sultan wa Oman.