mkuu inasemekana wanaccm asili wanaona wametengwa na wapinzani wanapendelewa hasa. siri ya kina Sofia simba kuteuliwa kwenye nyadhifa serikalini ni jitihada za Magu kujaribu kuzima hizo lawama za chinichini.Kiukweli CCM ya leo siyo ile CCM yenye pesa nje nje mzee kabana
hivi membe na Magu si walewale tu. kuna tofauti ganhuyu hafai ata u RC
Hii ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano...Hii ccm ya kuchezea box la kura kimachomacho limemuibua Membe. Wanaccm wengi sasa wanaona fika Magu na genge lake wameshindwa kufanya siasa za ushindani bali wamebaki kuburuza wananchi bila ridhaa yao. Kitendo cha Magu kuhakikisha mgombea wa ccm tena aliyemtoa upinzani na kuhakiksha anatangazwa mshindi kimewaacha wanaccm asilia na donge moyoni, hivyo wameamua wamtoe mapema.
Na hivi viashiria vya magu kutaka kujiongezea muda wa kukaa madarakani kimemfanya jasusi Membe kutoka alipokuwa kwani wanajua kabisa wakikaa kimya jamaa atajiongezea muda maana haheshimu box la kura. Hivyo kuna kundi kubwa ndani ya ccm halikubaliani na mwenendo wa magu na wameapa 2020 kumpiga chini.
Hapana kabisahivi membe na Magu si walewale tu. kuna tofauti gan
maccm wanamtaka membe 2020 apeperushe bendera ya chama
hasa mm lkn asilete ujinga wake tuMembe pia ni alikuwa ni chaguo la TISS still ndani ya kitengo kuna watu bado wanataka awe rais
Muda utaongeaUmelewa wewe nani wa kusimamia huo mgogoro na ataanzia wapi? Hivi unawajua makada wa chama cha mapinduzi au wenye chama unawajua? Tegemea kutosikia mwanzilishi wa mgogoro ndani ya ccm.
Wachunguzwe kwa kuwaza tofauti ma wewe?!Hapana sio kweli. Hii nchi ni ya wazalendo! Wasio wazalendo hawataki hii nchi ilendelee ku-exist. Ndiyo maana wanapinga kila kitu.
Clews;
1. Bombardier walizipinga mpaka kutumia mbinu ya kutafuta makampuni ya kutushtaki. Sasa wanapanda.
2. Dreamliner waliipinga sasa wanapanda.
3. SGR waliipinga, nadhani wataipanda.
4. Golf over waliipinga, lakini sasa wanazitumia.
5. Sheria mpya za kudhibiti uporaji wa madini yetu waliipinga na kuligomea Bunge.
6. Ukuta wa Mererani wa kulinda madini yetu ya Tanzanite yasiibiwe nao waliupinga na bado wanaupinga.
Do they really belong to Tanzania? Of course not!
Ningependa uasili wa Zitto Kabwe na Tundu Lissu uchunguzwe!
Fact walahi
Nguvu ya Membe kufika 2020 itategemea sana matendo ya jiwe.Jiwe linaweza either kujimaliza or kujijenga pale tu litakapoanza kuwekeza katika ustawi wa jamii kifedha na si katika vitu kama lifanyavyo sasa!Any way muda ni mwalimu mzuriNiaminishe hata kidogo mkuu, kuwa Membe ana nguvu kuliko alizokuwa naxo Lowassa ndani ya ccm, make huku kanda ya ziwa hata hatumjui, kma tulivyomjua Lowassa.
Ndio nyimbo za CCM hizi sio enzi za Marehemu KOMBA.Membe wanamtaka ili arudishe ufisadi Tanzania.
Lissu na Malim Seif wanawataka ili kuja kuvunja muungano na umoja wetu. Tanzania iwe Tanganyika dependent state na Zanzibar irejeshwe tena kwa Sultan wa Oman.
uzuri wa hili taifa ata CIA wanashindwaga kujua raisi ajaye
Hapana mkuu hapo nakupinga. Kwa kusema hivyo humtendei haki Rais wetu.Watu wanashangaza sana! Kuwa Membe hafai kuwa Rais wa Tanzania!! Sasa huyu wa sasa ana uwezo gani wa kuongoza? Nini kimebadilika hasa ndani ya miaka mitatu ya Uongozi wake? Na vipi yeye aliandaliwa na nani wakati nasikia hata kuwahi kushika nafasi ya chini ndani ya Chama hakuwahi pia, zaidi ya kuwa Mbunge wa Chama hicho!!
Maendeleo ya watu au maisha ya Watanzania wengi hasa wa chini yameimarika kwa kiwango gani? Hakuna la zaidi tu bora CCM ibadili mfumo wake wa kihafidhina wa mihula miwili, imtose Dr Magufuli miaka 5 inamtosha tu.
Kwa hili hata mimi naona Rais hakustahili kusema hivyo. Kama yeye mwenyewe aliamua kuchukua form za kugombea urais hanabudi kulalamika. Kama kazi zina mhelemea basi ajiuzuru, lakini sio kuwakatisha tamaa viongozi wa kesho. Kama Pop anaweza kujiuzuru kwanini ishindikane kwa Rais?Na yeye aliwahi kusema kuwa kazi yake ni ngumu anajuta, CCM impumzishe tu Dr Magufuli.
acha kujidanganya, magu ni matokeo ya mpasuko ndani ya chama, Kikwete alishamuandaa mrithi wake lakini akagonga mwamba