Why age mates /classmates wa kiume wanaoa mapema kuliko wa kike kuolewa...

shaurimbaya

JF-Expert Member
Oct 3, 2013
1,915
2,325
habari wadau.

kuna swali najiuliza sana hasa kwa hali nayoiona miaka hii tofauti na zamani.

nilimaliza chuo kikuu 2010, age nipo late 20s, katika watu wanaonizunguka.. na niliosoma nao primary, secondary na chuo, ambapo ni age mates... wanaume wanatangulia sana kuingia kwenye ndoa kuliko wanawake..

yaani ni kawaida sana mwanaume kuingia ndoani akiwa na 28, 29,30 kuliko wanawake wa umri huo huo
.
na haya ma group ya social network yanavyoimiza ushirikiano ( tunawasiliana sana na kuonana kwenye misiba na sherehe,, kujua flan yuko wapi na anafanya nini ).. wanaume wengi sana wapo kwenye ndoa zao kwa umri huu.. ila wanawake wengi hawajaolewa kabisa.. ukiacha wachache walioamua kuzaa watoto...

najiuliza sana hii inakuaje wanaume kutoogopa kuingia kwenye maisha ya ndoa mapema huku dada zao bado wana enjoy ubachelor..

maana navyosikia wanawake wanawahi kukua kiakili za maisha kuliko wanaume.. sasa why wanaziogopa changamoto za ndoa, nowdays kawaida sana mwanamke 28, 29, 30 bado anaenjoy ubachelor..
 
mwanamke akishafksha miaka 28 inabidi afunge na kuomba ili apate mume,age ya mwanamke kuolewa ni 23-26
 
Watafute single ladies/agemates/classmates, they have the right answers.
Better still, waulize waliooa katika umri tajwa kwa nini walifanya hivyo. Majibu yao yanaweza kukupa fununu za majibu ya swali lako.
 
Wanaume wanawai sababu ni lazima hata ufikishe miaka 50 utaoa tu, wanawake si lazima kuolewa na hawawezi kupata mume pale yeye anapotaka hadi itokee kama bahati na lazima amsikilize mwanaume anachotaka...Ndiyo maana unasikia wanawake wanalia sna kwamba amekosa mwanaume wa kumuuoa labda ana mikosi na vitu kama hivyo ila hutosikia mwanaume amekosa mke eti ana mikosi ama ana bahati hapana...
 
Najua ndiooo maana nimesema ikikuuma naongeza tena....
*ropoka kuandika pia hujui
Sawa mpemba ..inaomekana leo haujatafuna mchai chai ndo maana haushi kutapa tapa mithili ya jogoo wa uswazi alotiwa kisu shingoni akielekea kukata rohoo....ongeza tenaaa tuonee
 
habari wadau.

kuna swali najiuliza sana hasa kwa hali nayoiona miaka hii tofauti na zamani.

nilimaliza chuo kikuu 2010, age nipo late 20s, katika watu wanaonizunguka.. na niliosoma nao primary, secondary na chuo, ambapo ni age mates... wanaume wanatangulia sana kuingia kwenye ndoa kuliko wanawake..

yaani ni kawaida sana mwanaume kuingia ndoani akiwa na 28, 29,30 kuliko wanawake wa umri huo huo
.
na haya ma group ya social network yanavyoimiza ushirikiano ( tunawasiliana sana na kuonana kwenye misiba na sherehe,, kujua flan yuko wapi na anafanya nini ).. wanaume wengi sana wapo kwenye ndoa zao kwa umri huu.. ila wanawake wengi hawajaolewa kabisa.. ukiacha wachache walioamua kuzaa watoto...

najiuliza sana hii inakuaje wanaume kutoogopa kuingia kwenye maisha ya ndoa mapema huku dada zao bado wana enjoy ubachelor..

maana navyosikia wanawake wanawahi kukua kiakili za maisha kuliko wanaume.. sasa why wanaziogopa changamoto za ndoa, nowdays kawaida sana mwanamke 28, 29, 30 bado anaenjoy ubachelor..
Hao wanaoolewa si wanawake? Sasa kwanini useme wanaume wanaoa mapema?
 
Back
Top Bottom