Richard
Platinum Member
- Oct 23, 2006
- 16,635
- 25,614
Its called insulting people's intelligence.This is some joke business.
Eti kashinda kwa asilimia 97!
Wameamua kuzitusi waziwazi kabisa akili za Watanzania.
Wanatuambia kwamba sisi ni mazuzu na hatuna akili na kwamba wanaweza kufanya chochote watakacho.
No way, no how!
97%…..are you kidding me?
Tusikubali kabisa kufanywa mazuzu kiasi hiki.