Kwani na Mseven alikuwa hajamaliza muda wake mbona aligombea tena, mambo ya siasa ni magumu na wala usiusemee moyo wa mwenzioKagame anamalizia muhula wake wa mwisho.Na amesema hagombei tena kama katiba isivyoruhusu.Mbona tunapenda stori za kuungaunga?
Zawadi ya Kagame kwa rafiki yake wa tokea utotoni alimchagulia kifo, hakuna mtu asiejua kuwa Kagame ndo aliemuua Fred Rwigema period check hii site then you will get the whole saga http://www.africaglobalvillage.com/africanews/central-africa/rwanda/1281-un-answered-questions-about-the-death-of-gen-fred-rwigema.htmlMkuu Fred alikuwa na akili sana na alikuwa na hand on experience kwenye nyaja za vita, Kagame alijuwa uwezo mkubwa wa Fred lakini sina uhakika kama wangeweza wote kukaa zizi moja baada ya Kufanikiwa kumuodoa Habyarimana madarakani. Kama wenzangu wanavyo sema humu, Kifo cha Fred haikikuwa cha bahati MBAYA.
Hivi sisi tuna ugonjwa gani? Katiba ya Uganda haina term limitation...hakuna kikomo tofauti na katiba ya Rwanda.Bahati unajifunga mwenyewe kwa kusema kuwa tusiusemee moyo,mbona nyie mnausemea moyo wake kuwa hatatoka mpaka 2024?Nimemnukuu mwenyewe anavyodai,sijaongezea wala kupunguza kitu.Kagame si Museveni na kwa mtu aliyefuatilia uchaguzi wa Rwanda uliopita tayari anaujua ukweli wa ahadi hii.Kwani na Mseven alikuwa hajamaliza muda wake mbona aligombea tena, mambo ya siasa ni magumu na wala usiusemee moyo wa mwenzio
Another big lie.Fred alikuwa ni mwanamapinduzi na mara nyingi alikuwa ana maamuzi ya haraka haraka yaliyosababisha maafa kwake.Kagame alikuwa mtu wa mahesabu,na ndio maana yeye alikuwa kwenye intelligence ya Uganda kama kiongozi wakati Fred alikuwa mtu wa mapambano,combat man ambaye mara nyingi alitenda kwa haraka bila kufikiria au kupanga mipango madhubuti.Uhusiano wa Fred na Kagame ni kama ule wa Ernesto Guevarra na Fidel Castro.Castro alikuwa mtu wa ujasusi dhaidi ilhali Guevarra alikuwa na 'moto' wa pupa ulioleta kifo chake.Tujaribu kuisoma historia vizuri.kama ilivyo kwa Fidel kuhusishwa na kifo cha Che Guevarra ndivyo Kagame anavyohususishwa na kifo cha Fred...uzushi mtupu kwa wale waliosoma historia vizuri.
Nimesoma article yote kwa umakini.Mwisho wa siku hata hio theory ya Kagame kuhusika mwandishi mwenyewe ameitilia mashaka kwa kuwa haina logic yoyote.Iweje bodyguards wa Fred walishindwa kumuua kato?Zawadi ya Kagame kwa rafiki yake wa tokea utotoni alimchagulia kifo, hakuna mtu asiejua kuwa Kagame ndo aliemuua Fred Rwigema period check hii site then you will get the whole sagaRwanda - Un-answered questions about the death of Gen Fred Rwigema
Sioni evidence yoyote zaidi ya uzushi tu katika article hii.Jamaa anasema hivi mara vile bila kuelezea tukio au motive yoyote.Kagame wakati alikuwa masomoni Marekani na hakuwa kiongozi mkuu sasa iweje alimuua Fred?Kumbuka Kagame alikataa kushambulia Rwanda wakati kikosi kikiwa bado dhaifu na hata ukiangalia utagundua alikuwa sawa kwani kikosi kilichoongozwa na Fred wengi wao walifia mikononi mwa majeshi ya serikali huo mwaka 1990 ikamchukua Kagame takribani miaka minne kuikomboa Rwanda,1994...twende kwa factual history and logical reasoning sio kumeza udaku tu.Acha kupotosha uma on sasa umeamua kumkingia kifua Kagame wazi wazi ndugu yangu soma mwenyewe na pia soma site aliyoipost Bornagain muda si mrefu ndo utajua kazi ya Kagame sasa It was Kagame Not Museveni who Killed Fred Rwegyema | Ugandans-At-Heart
Acha kupotosha uma on sasa umeamua kumkingia kifua Kagame wazi wazi ndugu yangu soma mwenyewe na pia soma site aliyoipost Bornagain muda si mrefu ndo utajua kazi ya Kagame sasa It was Kagame Not Museveni who Killed Fred Rwegyema | Ugandans-At-Heart
Fred rwigema ndio hero wa Rwanda, kagame alidandia tu treni kwa mbele.
Acha kupotosha watu wewe, RPF chini ya uongozi wa Kagame na marehemu Fred Rwigema ndo walioitungua ndege iliyokuwa imewabeba maraisi wawili wa Rwanda - Habyarimana na wa Burundi - Cyprian Ntadyamira. Cha kusikitisha zaidi ndo mauaji ya Kimbari yakaanzia hapo lakini kila mwaka Wanyarwanda wanaadhimisha kumbukumbu ya mauaji ya Kimbari na hakuna anaethubutu kuelezea chanzo chake ni nini hasa.Uongozi ni mtamu asikuambie mtu, Kagame na RPF walikuwa wanajua kabisa kuwa kwa kupiga kombora ndege ya rais Habyarimana alikuwa anahatarisha maisha ya watusi waliokuwa wanakaa ndani ya Rwanda, lakini kwa kuwa ndugu zake wote na wanafamilia zake na wakubwa wa RPF walikuwa zao Uganda so wakaona hawana cha kukosa kwa hiyo watutsi waliokuwa ndani ya Rwanda ikabidi wapay the price. Na ikumbukwe watusi waliokuwa ndani ya Rwanda walikuwa wengi kuliko waliokuwa Tanzania na Uganda so in short yeye Kagame na wakubwazake akina Alex Kanyarengwe walikuwa hawana cha kupoteza.
In short Kagame knows what he has done for the plane to clash na ipo siku atakuja kulipa damu ya Wanyarwanda wa Kitusi ambao alisababisha wafe ili yeye awe kiongozi kwa damu za ndugu zake watusi ambao alikuwa anajua kuwa akianzisha chokochoko wangeuliwa wote, huyu jamaa ana roho mbaya sana maana alishindwa hata kumstua waziri mkuu wa rais Habyarimana ambae alikuwa ni mtusi mwenzake alikuwa anaitwa mama Agotho Uwilingiyeimana.Aliona angemstua kuwa mwisho wa siku angeonekana ni hero kwa kuwa yeye alikuwa ni mtusi aliekuwa anafanya kazi na utawala wa kihutu wa Habyarimana so Kagame alihali akijua kua kuanzisha chokochoko kungeleta maafa kwa watusi wenzake waliokuwa ndani ya Rwanda wala hakujali maana yeye alichokuwa anawazia ni kuwa rais kwa udi na uvumba
Sioni evidence yoyote zaidi ya uzushi tu katika article hii.Jamaa anasema hivi mara vile bila kuelezea tukio au motive yoyote.Kagame wakati alikuwa masomoni Marekani na hakuwa kiongozi mkuu sasa iweje alimuua Fred?Kumbuka Kagame alikataa kushambulia Rwanda wakati kikosi kikiwa bado dhaifu na hata ukiangalia utagundua alikuwa sawa kwani kikosi kilichoongozwa na Fred wengi wao walifia mikononi mwa majeshi ya serikali huo mwaka 1990 ikamchukua Kagame takribani miaka minne kuikomboa Rwanda,1994...twende kwa factual history and logical reasoning sio kumeza udaku tu.
Who is GW by the way? time is a good teacher and always time heal all the wounds so lets wait because time will tell the truth
Mbona jibu ni rahisi? Interahamwe hawakukubaliana na makubaliano yaliyofikiwa Tanzania ya kuwaingiza Kagame na kundi lake katika serikali ya ushirikiano. I am not twisting anything. Why is it that on the day Habyarimana was killed the Tutsi pogrom started? Who was broadcasting about inyenzi on that radio and calling on all Hutus to use matchetes and shokas to kill the Tutsis? Habyarimana was killed by his own military for signing a peace accord with Kagame.
I will just ignore your other nonsense and dwell on the topic.Unauliza kwamba kwa nini Kagame hakubaki Marekani,nahisi aidha haujui kilichompeleka Marekani au you are too emotional to the extent of losing...kifupi Kagame ilibidi arudi kuweka hali sawa maana baada ya kuawawa kwa Kiongozi Fred morali ya wanajeshi wa RPF ilikuwa chini sana.RPF ilikuwa imeshindwa na walikuwa almost wa-give up kabisa so they needed someone to lead them in re-assembling themselves.That's what Kagame did.Na hapo juu nimeandika kuwa ilimchukua almost miaka minne kuipanga RPF hadi kuwa imara.Simtetei Kagame wala simpuuzi Fred kwa sababu sifaidiki na lolote kutoka kwao.Kuna tofauti kubwa kati ya mtu wa combat na mtu intelligence na nikatoa analogue ya Che Guevarra na Fidel Castro. Kuna watu mpaka leo wanaamini Castro alimuua Che Guevarra...huo ndio uzushi naopinga.Sasa kwa nini akubaki huko huko Merikani na kuendela na masomo yake, kwa nini alirudi kuongoza jeshi ambalo alikuwa anajuwa halina uwezo 4 the time being, kisaikolojia naona unamlahumu FRED karibu kwa kila jambo kuanzia:Kufanya vitu kwa papala, kutokuwa level headed and what have you!! Eti jaribio lake la kwanza lili shindwa na majeshi ya Serikali, mbona hilo ni jambo la kawaida kwenye medani za vita mbona Castro Fidel alishindwa katika jaribio lake la kwanza, alikuja kufanikiwa mara ya pili alipo shirikiana na Comrade Che Guaverra - why pick on FRED(R.I.P) if I may ask? Umemsema sema sana FRED kwani aliwahi kukukwaza nini katika maisha yako, hutaki kabisa watu watoe maoni yao ambayo hayarandani na ya kwako, actually unaonekana ni wewe peke yako (lone Ranger) mwenye kumjuwa vizuri FRED like back of your HAND sijuhi kama kuna ukweli wowote katika hilo!! - kwa nini wewe ujione ndio mwenye factual history na a MEGA SMART reasoning capacity wengine vichwa vyao viko kwenye vegetative state, oh yes watu wengine wasizungumze chochote kuhusu Rwanda kwa kuwa wewe ni Encyclopaedia RWANDANICA. Nimejaribu kuangalia kwa umakini majibu jibu yako, nikisema na wewe huko kwenye group ya wale wenye tabia ya kukumbusha watu kwa kutamka unnecessarily kwamba: "UJUHI MIMI MTUTSI" je, nikikuweka kwenye kundi lenye trait kama hiyo ntakuwa nimekosea? Eti watu wanameza udaku, yaani unataka kutwambia information zako zinatoka kwenye respectable source, au mwenzetu uliwahi kuwa platoon commander au Brigedia wa jeshi la RPF - wacha kudhalau watu bwana - hapa kila mwana JF ana uhuru wa kutoa maoni yake bila ya kuomba kibali kutoka kwa any SOUL. CHEERS.
Kinachokubalika kuliko vyote ni kuwa yeyote aliyehusika na kuanzisha vita April 6 1994 ndiye anawajibika na mauaji yaliyofuatia.
Then if that is the case Kagame and the then heads of RPF must go for trial ICTR in Arusha maana ndo walioanzisha vita April 6 1994
Hili jambo la 'double genocide' ilitokea Rwanda i.e. wahutu waliua watutsi na watutsi waliua wahutu. ICTR walifungua mashtaka ya upande mmoja kuwaandama wale walioshindwa vita (RGF-Wahutu), lakini hawakufungua mashtaka dhidi ya wale walioshinda vita (RPF-Watutsi). Carla Del Ponte alipojaribu kufungua faili la uchunguzi dhidi ya maafisa wa RPF waliotuhumiwa kwa genocide ya wahutu alifukuzwa ICTR. Kwa maneno yake alisema ikiwa ikifahamika ni nani alitungua ndege ya Habyarimana, basi historia ya Rwanda genocide itaandikwa upya.