Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
- Thread starter
- #81
Ok, i get you on that, so Mwinyi na Kawawa ndio walifanya maandalizi hayo single handledly? did they carry through na mpango wao hadi Kikwete anakuwa Rais?
lemonade............waliungwa mkono na wengi na ndiyo maan amwishowe alifanikiwa...................lakini historia itawatambua wale ambao ndiyo waanzilishi wa huu mradi ambao hauna tija kwa taifa hata chembe..........
Last edited by a moderator: