Chunga vidole vyakoIS JECHA
Wafukuzwe tuuTena blacks wengi hakupiga kura na ndo wa kwanza kulalamika.
Lakini pia kumbuka aliyepata kura nyingi ni Hillary Clinton na kama ingekuwa siyo haya mambo ya Electoral College Trump asingekuwa rais. Pengine hawa wengi waliompigia kura Hillary ndiyo wanaopiga makelele na kuandama !!!Hebu tusaidiane jibu la swali toka kwenye hii picha.
Hata majority votes kamshinda kwa percent ndogo hillary ana over 60 mils plus wakat trump ana 59 mls plus.Lakini pia kumbuka aliyepata kura nyingi ni Hillary Clinton na kama ingekuwa siyo haya mambo ya Electoral College Trump asingekuwa rais. Pengine hawa wengi waliompigia kura Hillary ndiyo wanaopiga makelele na kuandama !!!
What? Are you sure you are making any sense? Wanaolalamika ni hawa 60 mill. wa Hillary ndiyo maana inaonekana kuwa malalamiko ni mengi sana.Hata majority votes kamshinda kwa percent ndogo hillary ana over 60 mils plus wakat trump ana 59 mls plus.
Still unaona many did vote him
Naifananisha na nchi fulaniMatokeo inaonekana yameshangaza wengi. Sasa kura katoa wapi?
Hebu tusaidiane jibu la swali toka kwenye hii picha.